Chato ni sehemu nzuri ujenzi wa vyuo na uwekezaji mwingine, karibu

Chato ni sehemu nzuri ujenzi wa vyuo na uwekezaji mwingine, karibu

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Katika kutungua eneo la kanda ya ziwa especially mkoa wa kagera na Geita naunga mkono juhudi za serikali kutengeneza maeneo yamkakati na yakudumu katika eneo lile.

Ujenzi wa uwanja, mbuga ya wanyama, vyuo na majengo yenye adhi zikiwemo hotel kutasiadia sana kupunguza uhalifu kwa maana ulinzi utaimarishwa lakini pia kutawaondoa wakaazi wa ukanda ule kwenye lindi la umaskini. Tufungue maeneo ya kibishara kupainua kwa ustawi wa Taifa letu huku tukiwalenga Warundi, Rwanda na Uganda Kama soko letu ya biashara na utalii.

Ila pia mkoa wa Mtwara, Lindi na Ruvuma ni wakati Sasa wakuinuliwa kujenga usawa wa maendeleo wa kanda tano za nchi yetu. Majaliwa anza Sasa kutengeneza maeneo ya uwekezaji ili miaka yako kumi ya Urais umalizie kuinua ukanda huo. Usifungwe na maneno ya watu ukakataa nyumbani kwa sababu utojenga kwa ajili yako Bali unajenga kwenye ardhi y Tanzania na kila Mtanzania ana haki yakufaidi matunda ya miundombinu utakayoweka.

Simamia gesi iwanufaishe Wana kusini na iwalete kanda nyingine kusini kuja kufanya kazi na kujipatia kipato. Ukishindwa kuendeleza ukanda huo, ukashindwa kuwatetea naamini utakuwa unatenda dhambi, miaka mingi wananchi wa kusini wameteseka tuwainue Sasa kwani kanda nyingine zimeshaanza kujisimamia.
 
Ni suala la muda tu kwani uchumi kamwe haufuati siasa, bali siasa huufuata uchumi!!itafikia muda huo uwekezaji wa chato utakuwa hasara kubwa kwa watu binafsi na serikali pia.licha ya nguvu nyingi inayotumika huko, ki uwekezaji ipo siku yatakuwa ya kule kijijini kwa mobotu, ndio maana hadi leo mji wa katoro ndio kitovu cha biashara kwa miji mikoa mingi ya kanda ya ziwa.
 
Katika kutungua eneo la kanda ya ziwa especially mkoa wa kagera na Geita naunga mkono juhudi za serikali kutengeneza maeneo yamkakati na yakudumu katika eneo lile.

Ujenzi wa uwanja, mbuga ya wanyama, vyuo na majengo yenye adhi zikiwemo hotel kutasiadia sana kupunguza uhalifu kwa maana ulinzi utaimarishwa lakini pia kutawaondoa wakaazi wa ukanda ule kwenye lindi la umaskini. Tufungue maeneo ya kibishara kupainua kwa ustawi wa Taifa letu huku tukiwalenga Warundi, Rwanda na Uganda Kama soko letu ya biashara na utalii.

Ila pia mkoa wa Mtwara, Lindi na Ruvuma ni wakati Sasa wakuinuliwa kujenga usawa wa maendeleo wa kanda tano za nchi yetu. Majaliwa anza Sasa kutengeneza maeneo ya uwekezaji ili miaka yako kumi ya Urais umalizie kuinua ukanda huo. Usifungwe na maneno ya watu ukakataa nyumbani kwa sababu utojenga kwa ajili yako Bali unajenga kwenye ardhi y Tanzania na kila Mtanzania ana haki yakufaidi matunda ya miundombinu utakayoweka.

Simamia gesi iwanufaishe Wana kusini na iwalete kanda nyingine kusini kuja kufanya kazi na kujipatia kipato. Ukishindwa kuendeleza ukanda huo, ukashindwa kuwatetea naamini utakuwa unatenda dhambi, miaka mingi wananchi wa kusini wameteseka tuwainue Sasa kwani kanda nyingine zimeshaanza kujisimamia.
Mambo yote Chato wengine wasubiri zamu yao.
 
Katika kutungua eneo la kanda ya ziwa especially mkoa wa kagera na Geita naunga mkono juhudi za serikali kutengeneza maeneo yamkakati na yakudumu katika eneo lile.

Ujenzi wa uwanja, mbuga ya wanyama, vyuo na majengo yenye adhi zikiwemo hotel kutasiadia sana kupunguza uhalifu kwa maana ulinzi utaimarishwa lakini pia kutawaondoa wakaazi wa ukanda ule kwenye lindi la umaskini. Tufungue maeneo ya kibishara kupainua kwa ustawi wa Taifa letu huku tukiwalenga Warundi, Rwanda na Uganda Kama soko letu ya biashara na utalii.

Ila pia mkoa wa Mtwara, Lindi na Ruvuma ni wakati Sasa wakuinuliwa kujenga usawa wa maendeleo wa kanda tano za nchi yetu. Majaliwa anza Sasa kutengeneza maeneo ya uwekezaji ili miaka yako kumi ya Urais umalizie kuinua ukanda huo. Usifungwe na maneno ya watu ukakataa nyumbani kwa sababu utojenga kwa ajili yako Bali unajenga kwenye ardhi y Tanzania na kila Mtanzania ana haki yakufaidi matunda ya miundombinu utakayoweka.

Simamia gesi iwanufaishe Wana kusini na iwalete kanda nyingine kusini kuja kufanya kazi na kujipatia kipato. Ukishindwa kuendeleza ukanda huo, ukashindwa kuwatetea naamini utakuwa unatenda dhambi, miaka mingi wananchi wa kusini wameteseka tuwainue Sasa kwani kanda nyingine zimeshaanza kujisimamia.
Kuna fursa nyingi nashauri ipewe nafasi ya kuwa makao makuu ya nchi, hoja ya kuwa katikati ya nchi siku hizi haipo na imepitwa na wakati.
 
Ni suala la muda tu kwani uchumi kamwe haufuati siasa, bali siasa huufuata uchumi!!itafikia muda huo uwekezaji wa chato utakuwa hasara kubwa kwa watu binafsi na serikali pia.licha ya nguvu nyingi inayotumika huko, ki uwekezaji ipo siku yatakuwa ya kule kijijini kwa mobotu, ndio maana hadi leo mji wa katoro ndio kitovu cha biashara kwa miji mikoa mingi ya kanda ya ziwa.
Acha wivu wewe chandimu!
 
Je kwa nini hawajengi gereza la kisasa apo chato
😂😅😂wamelijenga kusini huko mikoa ya Lindi.
Nimecheekaaah! Ila inafikirisha SANA, bado mabalozi kupewa viwanja Chato.

Everyday is Saturday................................😎
 
mkulu akistaafu na chato bye bye
Ilikuwa Bagamoyo enzi zile! Sasa nasingi iz zea.

Habari zilikuwa nyingi IFM kujenga na kuhamia undergraduate Msata. Bagamoyo port, EPZ, jeshi e.t.c

Everyday is Saturday...............................😎
 
Kuna ndege wengi sana wanatua huko kama:
Kweleakwelea,bundi,njiwapori,chozi na mwewe.
 
Back
Top Bottom