Chato ni sehemu nzuri ujenzi wa vyuo na uwekezaji mwingine, karibu

Chato ni sehemu nzuri ujenzi wa vyuo na uwekezaji mwingine, karibu

True ningeshauri kuwepo na mradi wa kuchimba mto tuyatoe maji bahari ya hindi Hadi Chato Ili Bandari kuu iwe Chato kusudi meli zote zitokazo nje ziweze fika huko. Itasaidia Sana kuinua uchumi wa juu toka Kati.
 

Attachments

  • FB_IMG_1608490467735.jpg
    FB_IMG_1608490467735.jpg
    32.1 KB · Views: 1
😂😅😂wamelijenga kusini huko mikoa ya Lindi.
Nimecheekaaah! Ila inafikirisha SANA, bado mabalozi kupewa viwanja Chato.

Everyday is Saturday................................😎
Hahaha
 
Back
Top Bottom