Mr_Teacher
JF-Expert Member
- Feb 28, 2021
- 362
- 343
Wanabodi salaam.
sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.
Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.
Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.
Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.
sitokei kanda ya ziwa na wala sipapigii debe Chato nyumbani kwa Mzee JPM, ila naleta mada hii kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Pale Chato pamejengwa Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda, ina majengo mazuri sana na nina Imani hata vitendea kazi pia, lakini nna mashaka bado idadi ya wagonjwa ni ndogo hata ukilinganisha na ya pale Bugando, wengi wamepiga kelele kuwa Mzee JPM alivutia kwao, sawa but ni Tanzania moja hii.
Nashauri ili kuipa hii hospital ubize na kuweza kufanya kazi kwa viwango kama ulivyo ukubwa wake pale Chato pajengwe Chuo kikuu cha Afya kama ilivyo MUHAS.
Chuo kiitwe tu Chato University of Health and Allied Sciences (CUHAS), tukifanya hivi maana yake wanafunzi wa CUHAS wataitumia hii hospital ktk mafunzo yao kama ilivyo wa MUHAS wanavyoitumia MNH. hii itasaidia sio tu kutibu watu wengi pale lakini pia kuongeza fursa kwa watanzania wanaotaka kusomea kada za Afya kwa kuongeza wigo mpana wa vyuo lakini pia kutaongezeka Ajira.
Nawasilisha, aone Rais Samia Suluhu ili aone namna.