Chaurembo: Kata za Mbagala, Kilungule na Kibonde Maji hazina Shule za Sekondari

Chaurembo: Kata za Mbagala, Kilungule na Kibonde Maji hazina Shule za Sekondari

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mbunge Abdallah Chaurembo amesema Kata za Mbagala, Kilungule na Kibonde Maji hazina kabisa Shule za Sekondari licha kwamba Sera ya Serikali ni kuwa na Sekondari katika kila Kata.

Akiwa Bungeni, pia amezungumzia hali ya msongamano wa Wanafunzi madarasani katika Shule mbalimbali zikiwemo Mbande, Chamazi, Mianzini, Kilamba, Nzasa, Mbagala Rangi Tatu, Mbagala Kuu na Kijichi.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, David Silinde amesema Kata ambazo hazina Shule zitazipata kwakuwa zipo katika mpango wa Serikali ya kujenga Sekondari 1,000 nchi nzima.
 
Barabara ya nini wakati magari Hamna?
Naamini hujapafika, unapasikia tu, kwa kipindi hiki cha mvua sambamba na utengezaji wa barabara ya Kilwa Road na nyenginezo hapa Dar imekuwa ni adha kubwa mnooo! Leo nimetoka mbagala rangi 3 saa 8.03 tumefika uhasibu 9.06 mwendo wa saa nzima katika kipnde ambacho sidhani kama kinafika kilomita 4.
 
Hao wabunge wa kupitishwa walikuwa wapiga debe wa mwendazake.
 
Back
Top Bottom