Chawa hakai kwa watu walio wasafi

Chawa hakai kwa watu walio wasafi

Holly Star

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2018
Posts
4,327
Reaction score
8,142
Kumekuwa na huu msemo wa CHAWA kwa muda mrefu sasa. Mdudu chawa ni mdudu anayeishi kwa kunyonya dam za viumbe hai hasa binadam.

Kwa tuliozaliwa miaka ile tuliishi nao sana hawa kwenye mashuka, chupi, nguo ama mablanketi yasiyofuliwa, na machafu, wanapenda sana pia kuoshi kweenye nywele chafu.

Msemo huu umekuwa maarufu kwa wafuasi wa mtu flani maarufu kumsemea wanajiita chawa.

Ila kumbukeni chawa ni mdudu anayependa uchafu hivo sio msemo.mzuri hasa kuuhusisha na watu wenye heshima zao maana unawachafua sababu chawa yupo associated na watu wachafu.

IMG_20230117_223215.jpg
 
Nimeiona mahali hii kauli ya
CHAWA Hakai na watu wasafi,
Na MTU Safi Hana chawa
na
mwisho Kikulacho Ki Nguoni Mwako.

Na huko mtaani naona kuna kauli za Chawa wangu, au Chawa WA Fulani nk. Je hizi kauli ni sifa za watu walio Bora.naomba wenye uelewa wanieleweshe , ili na Mimi Nika nunue hao chawa ikiwezekana
 
Back
Top Bottom