Chawa wana Upaja😀SI hawa kwel hao chawa unaowatafutaa mkuu.
View attachment 2959044
Wamebarikiwaa chawaa afsaaa😂😂Chawa wana Upaja😀
Wewe ni CHAWA Hakuna jina tofauti la kukupa Chawa wahedi wewe.Nimekaa natafakari kwa nini baadhi ya watu wanajiita chawa. Leo nimepata jibu kuwa ni WANYONYAJI.
Ningeomba serikali ipige marufuku watu kujiita chawa.
Kwa wale tunaounga mkono uongozi wa rais Samia basi tuitwe tu WAPAMBE coz tupo naye bega kwa bega.
Mimi ni mpambe pia.
Mimi siyo Chawa MNYONYAJI bali mi ni MPAMBE wa RaisWewe ni CHAWA Hakuna jina tofauti la kukupa Chawa wahedi wewe.
Sio poa, wamenyonya wakashiba haswaWamebarikiwaa chawaa afsaaa😂😂
Ujinga na umasikini wa WaTz ndio mtaji wa ccm, lazima uwe wa kumwaga!Hii nchi ina-ujinga mwingi sana