Chawa wa mama wajengewe uwezo

Chawa wa mama wajengewe uwezo

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF,

Baada ya mama kukiri kuwa ana pita pita humu ni hakika chawa wake wataongezeka na mapambio na kaswida nazo zitaongezeka.

Si vibaya mtu kupewa sifa anayo stahili, ila watoa sifa ambao ni machawa na walamba viatu wanapaswa kuongezwa kidogo (building their capacity). Wapige mapambio na waimbe kaswida zenye uhalisia na kistaarabu.

Ni ukweli usiopingika kwamba machawa yakishalamba asali yanaimba mapambio na kaswida on top of their voices

Still, mama yetu anapaswa kushauriwa kiuaminifu, asifanyiwe upambe potofu, pale inapostahili aambiwe ukweli ata kama ni mchungu..

Chawa wajengwe ku-call a spade by its name.

Wenye macho na wasome.
 
Mama yetu anapaswa kushauriwa kiuaminifu, asifanyiwe upambe potofu, pale inapostahili aambiwe ukweli ata kama ni mchungu..
This is very important, lakini tatizo ni kuwa wale machawa ndio anawapa vyeo/kula yao hivyo lazima uchawa uote miziz. Unadhani wangelikuwa hawapati vyeo wangelikuwa machawa?
 
This is very important, lakini tatizo ni kuwa wale machawa ndio anawapa vyeo/kula yao hivyo lazima uchawa uote miziz. Unadhani wangelikuwa hawapati vyeo wangelikuwa machawa?
 
Wasalaam wana JF
Baada ya mama kukiri kuwa ana pita pita humu ni hakika chawa wake wataongezeka na mapambio na kaswida nazo zitaongezeka.

Si vibaya mtu kupewa sifa anayo stahili, ila watoa sifa ambao ni machawa na walamba viatu wanapaswa kuongezwa kidogo (building their capacity). Wapige mapambio na waimbe kaswida zenye uhalisia na kistaarabu.

Mama yetu anapaswa kushauriwa kiuaminifu, asifanyiwe upambe potofu, pale inapostahili aambiwe ukweli ata kama ni mchungu..

Wenye macho na wasome.
Yule mama ni mtu mzima; amekuwa serikalini mda , refu hivyo anajua kila kitu. Ukiona mambo yanaenda kama yalivyo jua ameamua yaende kama yalivyo na sio kwamba anapotoshwa.

Tukiangalia upande mwingime wa kijinsia mwanamke akisifiwa akili humruka na kupelekea kufanya maamuzi ya ajabu.
 
Yule mama ni mtu mzima; amekuwa serikalini mda , refu hivyo anajua kila kitu. Ukiona mambo yanaenda kama yalivyo jua ameamua yaende kama yalivyo na sio kwamba anapotoshwa.

Tukiangalia upande mwingime wa kijinsia mwanamke akisifiwa akili humruka na kupelekea kufanya maamuzi ya ajabu.
Sasa hapo ni wajibu wa waratibu chawa, kuwaongezea uwezo ili tuwe na mchawaa yenya kukidhi vigezo vya kisasa vya ndani na kimataifa
 
Tunataka wawe objective mkuu, of cause inaweza kuwa fursa kufundisha elimu ya uraia kwa chawa wote nchi nzima
Objectivity kwa mwanadamu tena kwenye siasa ni bidhaa ngumu sana kuipata. Tena kwa praise team ya raisi?? Ufalme hauwezi kufitiniana
 
Objectivity kwa mwanadamu tena kwenye siasa ni bidhaa ngumu sana kuipata. Tena kwa praise team ya raisi?? Ufalme hauwezi kufitiniana
Hakika, ila waseme na kufanya wakiwa conscious, but not out of ignorance.

Mtu kama Prof wa jalalani guilty conscious aliyokua nayo sasa ni kubwa kuliko Sabaya au Daudi Alber Bashite
 
Back
Top Bottom