Uhakika?Sabuni ya unga
Ndo yapi ayoTumia mafuta ya breki uko kwenye pumb* wataondoka tu
NyauChukua kidumu cha petroli, nend karibu na bahari jimwagie petroli mwili mzima alafu niwashe na kiberiti baada ya hapo, kwa spidi ya mwanga ingia kwenye maji.
Mi nlifanya hvyo mpka saivi nadhani wananiogopa.
Usiumize sana kichwa jina(ID) yangu inajieleza.
NyauChukua kidumu cha petroli, nend karibu na bahari jimwagie petroli mwili mzima alafu niwashe na kiberiti baada ya hapo, kwa spidi ya mwanga ingia kwenye maji.
Mi nlifanya hvyo mpka saivi nadhani wananiogopa.
Usiumize sana kichwa jina(ID) yangu inajieleza.
Nimekusoma, iyo mbinu kichwan ni ya1 shd n kwamb wapo kwny pumbu at nipige upara wanarudi,nafua,naoga kila sku kwa maj ya moto ila ndo ivoDawa ya chawa ni maji ya moto tu, fua kila kilchokuwepo ndani kwako kwa kutumia maji ya moto.
Pia hakikisha ukishafua nguo zote, unazipiga pasi saaafi.
NB:[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wapo kwenye kende nenda duka la dawa nunua dawa inaitwa "sulphur oint " pakaa asubuhi na jioni.
Pia hao ni kwamba wapo kwenye nguo kwa hivyo kila ukiwatoa wa mwilini wanakuja wengine kutoka kwenye nguo.
NB: chawa ni indicator ya umaskini.