Chawa wanashangaa Rais wa CWT kukataa Uteuzi wa DC mbona Tundu Lissu alikataa Uteuzi mkubwa tu. Ukiwa na maono yatakuongoza, hutayumba!

Chawa wanashangaa Rais wa CWT kukataa Uteuzi wa DC mbona Tundu Lissu alikataa Uteuzi mkubwa tu. Ukiwa na maono yatakuongoza, hutayumba!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mjadala wa Walimu kukataa Uteuzi wa uDC umekuwa mkubwa kana kwamba wao ndio Watu wa kwanza kukataa Uteuzi hapa nchini.

Kuna Wengi hukataa Teuzi kimya kimya na maisha yanaendelea.

Yuko mtu inasemekana Nyerere alitaka ateuliwe kuwa mgombea Urais wakati wa Chama Kimoja lakini alikataa kwa sababu alikuwa na maono yake huko OAU.

Shujaa Magufuli akiwa Singida Kwenye kampeni alisema alitaka kumteua Tundu Lisu Kwenye nafasi fulani ili aachane na mambo ya uRais lakini TAL alikataa.

Yupo DC aliteuliwa na Magufuli lakini akamshukuru kwa Uteuzi na kusema hayuko tayari.

So, walichofanya hawa Walimu ni kawaida sana, Ubongo unatakiwa kustawishwa siyo kusinyaishwa.

Chawa hawezi kujadili Uteuzi wake kwa sababu mosi hana vision pili hana option.

Mungu wa mbinguni akubariki!
 
Tutajua Tu Kwa nn wamekataa hzo teuzi , sababu zenu hazijitoshelezi ngoja tuvute subira
 
Mjadala wa Walimu kukataa Uteuzi wa uDC umekuwa mkubwa kana kwamba wao ndio Watu wa kwanza kukataa Uteuzi hapa nchini.

Kuna Wengi hukataa Teuzi kimya kimya na maisha yanaendelea.

Yuko mtu inasemekana Nyerere alitaka ateuliwe kuwa mgombea Urais wakati wa Chama Kimoja lakini alikataa kwa sababu alikuwa na maono yake huko OAU.

Shujaa Magufuli akiwa Singida Kwenye kampeni alisema alitaka kumteua Tundu Lisu Kwenye nafasi fulani ili aachane na mambo ya uRais lakini TAL alikataa.

Yupo DC aliteuliwa na Magufuli lakini akamshukuru kwa Uteuzi na kusema hayuko tayari.

So, walichofanya hawa Walimu ni kawaida sana, Ubongo unatakiwa kustawishwa siyo kusinyaishwa.

Chawa hawezi kujadili Uteuzi wake kwa sababu mosi hana vision pili hana option.

Mungu wa mbinguni akubariki!
Ni Jo huyu,huyu mstaafu,basi kadiri muda unasonga yapo mabadiliko chanya ya kutosha🤔
 
Tutajua Tu Kwa nn wamekataa hzo teuzi , sababu zenu hazijitoshelezi ngoja tuvute subira
Hakuna Mtumishi wa Serikali anaweza kukataa uteuzi wa Rais. Hizi ni mbwembwe za mitandaoni tu. Ila umetoa hoja yenye busara sana. Tuvute subra.
 
Mjadala wa Walimu kukataa Uteuzi wa uDC umekuwa mkubwa kana kwamba wao ndio Watu wa kwanza kukataa Uteuzi hapa nchini.

Kuna Wengi hukataa Teuzi kimya kimya na maisha yanaendelea.

Yuko mtu inasemekana Nyerere alitaka ateuliwe kuwa mgombea Urais wakati wa Chama Kimoja lakini alikataa kwa sababu alikuwa na maono yake huko OAU.

Shujaa Magufuli akiwa Singida Kwenye kampeni alisema alitaka kumteua Tundu Lisu Kwenye nafasi fulani ili aachane na mambo ya uRais lakini TAL alikataa.

Yupo DC aliteuliwa na Magufuli lakini akamshukuru kwa Uteuzi na kusema hayuko tayari.

So, walichofanya hawa Walimu ni kawaida sana, Ubongo unatakiwa kustawishwa siyo kusinyaishwa.

Chawa hawezi kujadili Uteuzi wake kwa sababu mosi hana vision pili hana option.

Mungu wa mbinguni akubariki!
Bila kumtaja Lissu ,hujisikii amani
 
Mjadala wa Walimu kukataa Uteuzi wa uDC umekuwa mkubwa kana kwamba wao ndio Watu wa kwanza kukataa Uteuzi hapa nchini.

Kuna Wengi hukataa Teuzi kimya kimya na maisha yanaendelea.

Yuko mtu inasemekana Nyerere alitaka ateuliwe kuwa mgombea Urais wakati wa Chama Kimoja lakini alikataa kwa sababu alikuwa na maono yake huko OAU.

Shujaa Magufuli akiwa Singida Kwenye kampeni alisema alitaka kumteua Tundu Lisu Kwenye nafasi fulani ili aachane na mambo ya uRais lakini TAL alikataa.

Yupo DC aliteuliwa na Magufuli lakini akamshukuru kwa Uteuzi na kusema hayuko tayari.

So, walichofanya hawa Walimu ni kawaida sana, Ubongo unatakiwa kustawishwa siyo kusinyaishwa.

Chawa hawezi kujadili Uteuzi wake kwa sababu mosi hana vision pili hana option.

Mungu wa mbinguni akubariki!
Umenena !
 
Mjadala wa Walimu kukataa Uteuzi wa uDC umekuwa mkubwa kana kwamba wao ndio Watu wa kwanza kukataa Uteuzi hapa nchini.

Kuna Wengi hukataa Teuzi kimya kimya na maisha yanaendelea.

Yuko mtu inasemekana Nyerere alitaka ateuliwe kuwa mgombea Urais wakati wa Chama Kimoja lakini alikataa kwa sababu alikuwa na maono yake huko OAU.

Shujaa Magufuli akiwa Singida Kwenye kampeni alisema alitaka kumteua Tundu Lisu Kwenye nafasi fulani ili aachane na mambo ya uRais lakini TAL alikataa.

Yupo DC aliteuliwa na Magufuli lakini akamshukuru kwa Uteuzi na kusema hayuko tayari.

So, walichofanya hawa Walimu ni kawaida sana, Ubongo unatakiwa kustawishwa siyo kusinyaishwa.

Chawa hawezi kujadili Uteuzi wake kwa sababu mosi hana vision pili hana option.

Mungu wa mbinguni akubariki!
Kukataa kunaenda na ujumbe wa utii na unyenyekevu mkubwa sana kwa mamlaka, na wengine wana hofu na vyeo hivyo wala haina uhusiano na dharau. Ukuu wa Wilaya kwa sasa una lawama nyingi. Rais Hassan awape hizo nafasi vijana UVCCM ndio utaratibu, na pia kuwapandisha makatibu tawala na Katibu tarafa wa Wilaya, ni dharau sana kutowapa nafasi hao watu
 
Mjadala wa Walimu kukataa Uteuzi wa uDC umekuwa mkubwa kana kwamba wao ndio Watu wa kwanza kukataa Uteuzi hapa nchini.

Kuna Wengi hukataa Teuzi kimya kimya na maisha yanaendelea.

Yuko mtu inasemekana Nyerere alitaka ateuliwe kuwa mgombea Urais wakati wa Chama Kimoja lakini alikataa kwa sababu alikuwa na maono yake huko OAU.

Shujaa Magufuli akiwa Singida Kwenye kampeni alisema alitaka kumteua Tundu Lisu Kwenye nafasi fulani ili aachane na mambo ya uRais lakini TAL alikataa.

Yupo DC aliteuliwa na Magufuli lakini akamshukuru kwa Uteuzi na kusema hayuko tayari.

So, walichofanya hawa Walimu ni kawaida sana, Ubongo unatakiwa kustawishwa siyo kusinyaishwa.

Chawa hawezi kujadili Uteuzi wake kwa sababu mosi hana vision pili hana option.

Mungu wa mbinguni akubariki!
Wewe haiwezikane mtu alikutwanga risasi kadhaa ..badae alete poroja zamatakoni ukubali ...tumshukuru mungu tar 17 March yule nduli hakustahili kuishi.
 
Back
Top Bottom