Kiwalani finest
Member
- Jul 6, 2024
- 97
- 72
Kwa kutumia mifumo ya nchi, tutawaelimisha waache ujinga na upumbavu wa kuamini kwamba wao ndiyo Tanzania na wengine ni kama sampuli ya mwanadamu.
Lazima tuwaelimishe kwa mujibu wa maelekezo ya Katiba ya CCM ya mwaka 1977, toleo la 2022, ibara ya 07, ibara ya 08 (1)(2)(6), na ibara ya 15 yote kwa umuhimu wake. Pia tutaweka mkazo kwa ibara ya 12(1)(a) kwa madhumuni ya kufikia ukurasa wa 152, vifungu 1, 3, 6, 8, na 9. Haya yote yanaungwa mkono na Ilani ya CCM ya mwaka 2020 ukurasa wa 01, ibara ya 04.
Elimu hii ni muhimu kwa ajili ya kuwaondoa katika upotovu wa mawazo na kuwafunza uzalendo wa kweli kwa nchi yao.
Lazima tuwaelimishe kwa mujibu wa maelekezo ya Katiba ya CCM ya mwaka 1977, toleo la 2022, ibara ya 07, ibara ya 08 (1)(2)(6), na ibara ya 15 yote kwa umuhimu wake. Pia tutaweka mkazo kwa ibara ya 12(1)(a) kwa madhumuni ya kufikia ukurasa wa 152, vifungu 1, 3, 6, 8, na 9. Haya yote yanaungwa mkono na Ilani ya CCM ya mwaka 2020 ukurasa wa 01, ibara ya 04.
Elimu hii ni muhimu kwa ajili ya kuwaondoa katika upotovu wa mawazo na kuwafunza uzalendo wa kweli kwa nchi yao.