Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Machawa wote ni kwa ajili ya achievement za kwao wenyewe. Inaelekea hujaelewa kwanini watu wanakuwa machawaIt is useless and sarcastic to be "chawa" in a poor country like yours, a kenyan friend told me, so guys let's stop this behaviour, be chawa of your own achievement!
Nope wana achieve goal za mwingine na zao kidogo. Lakin effect wanayo iacha kwa jamii ni mbaya sana. Wanata kufanya kujitoa akili kwa mambo ya kipumbav liwe jambo la kawaidaMachawa wote ni kwa ajili ya achievement za kwao wenyewe. Inaelekea hujaelewa kwanini watu wanakuwa machawa
Hii Hali uliyo nayo Leo Ni matokeo ya Yale uliyoyafanya siku zilizopita, Na matokeo ya siku zijazo yanategemea Sana kile ambacho unakifanya leoIt is useless and sarcastic to be "chawa" in a poor country like yours, a kenyan friend told me, so guys let's stop this behaviour, be chawa of your own achievement!
Wao wanakuwa wajilenga wao hivyo ili wafaidike wanampgia mwingine debe na kumsujudia ili aweze kutimiza mambo yake na wao wapate ya kwao. Ukitaka kujua hilo tazama machawa wa magufuli waliokuwa wanasimamia sera zake kufa na kupona ndiyo hao hao sasa hivi wanapiga kelele kwa rais wa sasa muda mwingine wakikandia yale ambayo magu walikuwa wakimsifia nayo.Nope wana achieve goal za mwingine na zao kidogo. Lakin effect wanayo iacha kwa jamii ni mbaya sana. Wanata kufanya kujitoa akili kwa mambo ya kipumbav liwe jambo la kawaida
Who is not chawa? What do you call Kenyans who call Raila Odinga "Baba"!? Do they have any difference with those Ugandans who call M 7 "Muzee"?It is useless and sarcastic to be "chawa" in a poor country like yours, a kenyan friend told me, so guys let's stop this behaviour, be chawa of your own achievement!
Uchawa vs human herding, what is practice in Tanzania is human herding. Human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or working towards group objective and hypocrite, (uoga wa kuigiza yaani unafiki), a.k.a kujizima data, tuseme kuahirisha kufikiri kizalendoIt is useless and sarcastic to be "chawa" in a poor country like yours, a kenyan friend told me, so guys let's stop this behaviour, be chawa of your own achievement!