Unafiki mtupu, ila ipo siku itafikia mtu akijulikana ni CCM atakua anashambuliwa kama ambavyo wamezoea kushambulia wapinzani. Wacha hii mbegu ikomae kidogo ili izae matunda.Halafu vyombo vya ulinzi na usalama vinakubali huu ujinga wapuuzi kabisa.
Pengo ndio hovyo kama pengo lenyewe, mnafiki sanaCcm ndio italeta vita kwenye hii nchi na viongozi wa dini mkilifumbia hili macho mnapoteza credibility yenu.
Pengo ni mpumbavu na amelaaniwa kwasababu anafungamana na chama cha majizi.Pengo ndio hovyo kama pengo lenyewe, mnafiki sana
Kibajaji ana elimu gani?Mjiangalie pia mnaleta watu wa aina gani.
Je wana elimu gani??
Fomu walijaza vipi??
Huwa mnawapa semina??
Isije kuwa mnalaumu tu generally wakati pia na nyie mmechangia na hamtaki kusema ukweli.
Wewe ni papai tena papai lililoiva! Nyie Ndio msiotakia mema Tanzania kwa kuwa corrupt kwa makusudi ya wazi wazi! Dhambi ni dhambi tuMjinga ni wewe unayedhani Chadema hawakosei.
Wote mnafanana ujinga wenu.
Kama mbunge sharti ni uwe unajua kusoma na kuandika je hizo nafasi za mtaa ndizo zinataka quolificatins zaidi? Punguza upumbavu.Mjiangalie pia mnaleta watu wa aina gani.
Je wana elimu gani??
Fomu walijaza vipi??
Huwa mnawapa semina??
Isije kuwa mnalaumu tu generally wakati pia na nyie mmechangia na hamtaki kusema ukweli.
MpumbavuMjiangalie pia mnaleta watu wa aina gani.
Je wana elimu gani??
Fomu walijaza vipi??
Huwa mnawapa semina??
Isije kuwa mnalaumu tu generally wakati pia na nyie mmechangia na hamtaki kusema ukweli.
Hata wewe mjingaMjinga ni wewe unayedhani Chadema hawakosei.
Wote mnafanana ujinga wenu.
Wapo juha wanasema wapo wanaWengi hawajui kusoma na kuandika, ilibidi Meya mstaafu awatafutie watu wa kuwajazia fomu
Halafu wapo juha watafuta amani pasi na wajibu,haki na usawa. Kwenye yale mazingaumbwe ya kuonyesha ujinga wa mtu mweusiWengi hawajui kusoma na kuandika, ilibidi Meya mstaafu awatafutie watu wa kuwajazia fomu
mchezo unasimamiwa na watendaji wa vijiji/mtaa na wa kataMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob amesema mkoa wa DSM una Mitaa 636 na Wagombea wa Chadema 571 wamekatwa na kubaki 45 tu
Watanzania Kwa Umoja wenu mnaombwa kuiombea Chadema
Boniface Jacob amesema ukurasani X
Baadae Mlale unono 🤣huku Mkimkumbuka Shujaa 😂
----
Mkoa wa Dar es Salaam wenye mitaa 636 wamekata majina ya wagombea wa CHADEMA 571. Wamebaki wagombea 45 tu
Dar es salaam yenye wajumbe wa Serikali za mitaa 3,822 wamekata majina ya wagombea wa ujumbe kupitia CHADEMA 3711, wamebakia 111 tu
Watendaji wa Kata na Mitaa wamepewa maelekezo ya kutowateua wagombea wa CHADEMA.
Wagombea wachache walioachwa bila kuenguliwa, kuna mkakati wa kuwaondoa wote kupitia mapingamizi.
Wagombea wa CCM wamepewa maelekezo ya kuwawekea mapingamizi wagombea hao wachache wa CHADEMA ili CCM wabaki pekee yao kwa 100%.
Kazi hii inafanywa na wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya (DC) na Wakuu wa Usalama wa Taifa (DSO) wa Wilaya zote za Dar es Salaam
Haya ni majaribu makubwa lakini tutayashinda na Dar es salaam itaenda kuandika historia ya kutetea na kuhami Demokrasia.
Tutapambana mapambano ambayo hayajawahi kutokea,Mimi nitaongoza mapambano haya.
Boniface Jacob
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani.
Yani hawa watu wenye majini sijui wachawi walitakiwa wadeal na wapumbavu kama hawa kina chengerwa, makala n.kWachawi labda kwenyw kurudishana nyuma
Wanafanya uhuni. Wanaleta watu wala hawaishi mitaa inayohusika kwa nini wasikaywe.Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob amesema mkoa wa DSM una Mitaa 636 na Wagombea wa Chadema 571 wamekatwa na kubaki 45 tu
Watanzania Kwa Umoja wenu mnaombwa kuiombea Chadema
Boniface Jacob amesema ukurasani X
Baadae Mlale unono 🤣huku Mkimkumbuka Shujaa 😂
----
Mkoa wa Dar es Salaam wenye mitaa 636 wamekata majina ya wagombea wa CHADEMA 571. Wamebaki wagombea 45 tu
Dar es salaam yenye wajumbe wa Serikali za mitaa 3,822 wamekata majina ya wagombea wa ujumbe kupitia CHADEMA 3711, wamebakia 111 tu
Watendaji wa Kata na Mitaa wamepewa maelekezo ya kutowateua wagombea wa CHADEMA.
Wagombea wachache walioachwa bila kuenguliwa, kuna mkakati wa kuwaondoa wote kupitia mapingamizi.
Wagombea wa CCM wamepewa maelekezo ya kuwawekea mapingamizi wagombea hao wachache wa CHADEMA ili CCM wabaki pekee yao kwa 100%.
Kazi hii inafanywa na wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya (DC) na Wakuu wa Usalama wa Taifa (DSO) wa Wilaya zote za Dar es Salaam
Haya ni majaribu makubwa lakini tutayashinda na Dar es salaam itaenda kuandika historia ya kutetea na kuhami Demokrasia.
Tutapambana mapambano ambayo hayajawahi kutokea,Mimi nitaongoza mapambano haya.
Boniface Jacob
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani.