LGE2024 CHDEMA: Mkoa wa DSM wenye Mitaa 636 Wamekatwa majina ya Wagombea wetu 571 wamebaki 45 tu

LGE2024 CHDEMA: Mkoa wa DSM wenye Mitaa 636 Wamekatwa majina ya Wagombea wetu 571 wamebaki 45 tu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Halafu vyombo vya ulinzi na usalama vinakubali huu ujinga wapuuzi kabisa.
Unafiki mtupu, ila ipo siku itafikia mtu akijulikana ni CCM atakua anashambuliwa kama ambavyo wamezoea kushambulia wapinzani. Wacha hii mbegu ikomae kidogo ili izae matunda.
 
Mjiangalie pia mnaleta watu wa aina gani.

Je wana elimu gani??

Fomu walijaza vipi??

Huwa mnawapa semina??

Isije kuwa mnalaumu tu generally wakati pia na nyie mmechangia na hamtaki kusema ukweli.
Kibajaji ana elimu gani?
 
Mjiangalie pia mnaleta watu wa aina gani.

Je wana elimu gani??

Fomu walijaza vipi??

Huwa mnawapa semina??

Isije kuwa mnalaumu tu generally wakati pia na nyie mmechangia na hamtaki kusema ukweli.
Kama mbunge sharti ni uwe unajua kusoma na kuandika je hizo nafasi za mtaa ndizo zinataka quolificatins zaidi? Punguza upumbavu.
 
Wakati mnalalamika ccm inachukua mitaa yote na hamna kitu mnaweza fanya ,zaidi ya malalamiko
 
Mjiangalie pia mnaleta watu wa aina gani.

Je wana elimu gani??

Fomu walijaza vipi??

Huwa mnawapa semina??

Isije kuwa mnalaumu tu generally wakati pia na nyie mmechangia na hamtaki kusema ukweli.
Mpumbavu
 
Mlisema ni Magufuli, hahaha! Kiko wapi sasa?
Ule wimbo ulioanzia CCM na nyie wapinzani mkaingia mkenge bila kujua mkaimba chorus: "uchaguzi ule ulikuwa uchafuzi, mama kaimarisha demokrasia, mama amewapa nafasi Sawa wapinzani, mama karuhusu maandamano, mama karuhusu mikutano ya hadhara, wapinzani walinunuliwa na Mwendazake, " ....na hizo ni rasharasha, elnino unakuja! Ndani ya CCM kuna mumiani, mafia ambao hata mwenyekiti wao anawaogopa wasije wakagusa "fuse" yake akapiga shot !
 
Washauri wa Mwenyekiti wa chadema ni akina nani, waliomshauri apindue maamuzi yao ya kutoshiriki uchaguzi kwa Katiba hii? Siasa ni mkakati, na sio mizuka na uanaharakati wa akina Mdude!
 
Wengi hawajui kusoma na kuandika, ilibidi Meya mstaafu awatafutie watu wa kuwajazia fomu
Wapo juha wanasema wapo wana
Wengi hawajui kusoma na kuandika, ilibidi Meya mstaafu awatafutie watu wa kuwajazia fomu
Halafu wapo juha watafuta amani pasi na wajibu,haki na usawa. Kwenye yale mazingaumbwe ya kuonyesha ujinga wa mtu mweusi
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob amesema mkoa wa DSM una Mitaa 636 na Wagombea wa Chadema 571 wamekatwa na kubaki 45 tu

Watanzania Kwa Umoja wenu mnaombwa kuiombea Chadema

Boniface Jacob amesema ukurasani X

Baadae Mlale unono 🤣huku Mkimkumbuka Shujaa 😂

----
Mkoa wa Dar es Salaam wenye mitaa 636 wamekata majina ya wagombea wa CHADEMA 571. Wamebaki wagombea 45 tu

Dar es salaam yenye wajumbe wa Serikali za mitaa 3,822 wamekata majina ya wagombea wa ujumbe kupitia CHADEMA 3711, wamebakia 111 tu

Watendaji wa Kata na Mitaa wamepewa maelekezo ya kutowateua wagombea wa CHADEMA.

Wagombea wachache walioachwa bila kuenguliwa, kuna mkakati wa kuwaondoa wote kupitia mapingamizi.

Wagombea wa CCM wamepewa maelekezo ya kuwawekea mapingamizi wagombea hao wachache wa CHADEMA ili CCM wabaki pekee yao kwa 100%.

Kazi hii inafanywa na wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya (DC) na Wakuu wa Usalama wa Taifa (DSO) wa Wilaya zote za Dar es Salaam

Haya ni majaribu makubwa lakini tutayashinda na Dar es salaam itaenda kuandika historia ya kutetea na kuhami Demokrasia.

Tutapambana mapambano ambayo hayajawahi kutokea,Mimi nitaongoza mapambano haya.

Boniface Jacob
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani.
mchezo unasimamiwa na watendaji wa vijiji/mtaa na wa kata
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob amesema mkoa wa DSM una Mitaa 636 na Wagombea wa Chadema 571 wamekatwa na kubaki 45 tu

Watanzania Kwa Umoja wenu mnaombwa kuiombea Chadema

Boniface Jacob amesema ukurasani X

Baadae Mlale unono 🤣huku Mkimkumbuka Shujaa 😂

----
Mkoa wa Dar es Salaam wenye mitaa 636 wamekata majina ya wagombea wa CHADEMA 571. Wamebaki wagombea 45 tu

Dar es salaam yenye wajumbe wa Serikali za mitaa 3,822 wamekata majina ya wagombea wa ujumbe kupitia CHADEMA 3711, wamebakia 111 tu

Watendaji wa Kata na Mitaa wamepewa maelekezo ya kutowateua wagombea wa CHADEMA.

Wagombea wachache walioachwa bila kuenguliwa, kuna mkakati wa kuwaondoa wote kupitia mapingamizi.

Wagombea wa CCM wamepewa maelekezo ya kuwawekea mapingamizi wagombea hao wachache wa CHADEMA ili CCM wabaki pekee yao kwa 100%.

Kazi hii inafanywa na wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya (DC) na Wakuu wa Usalama wa Taifa (DSO) wa Wilaya zote za Dar es Salaam

Haya ni majaribu makubwa lakini tutayashinda na Dar es salaam itaenda kuandika historia ya kutetea na kuhami Demokrasia.

Tutapambana mapambano ambayo hayajawahi kutokea,Mimi nitaongoza mapambano haya.

Boniface Jacob
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani.
Wanafanya uhuni. Wanaleta watu wala hawaishi mitaa inayohusika kwa nini wasikaywe.
 
Back
Top Bottom