Eduardo Mondlane (mwanzilishi wa chama cha kupigania uhuru Msumbiji cha FRELIMO akiwa na Ernasto Che Guevara katika ofisi za FRELIMO jijini Dar es salaam mwaka 1966. Che Guevara alikuwepo Dar es salaam kwa miezi 5 kati ya mwaka 1965 hadi 1966. Akiwa Dar es salaam Che Guevara alitumia jina la siri ( code name) '' TATU '' ni jumla ya herufi katika jina C, H, E (CHE).
Alikuwa mteja wa mara nyingi katika mgahawa wa Zahir ulipo katika mtaa wa msikiti jijini Dar es salaam ( mgahawa huo bado upo) na aliishi katika ubalozi wa Cuba, kutoka Dar es salaam, Che Guevara alielekea Congo. Eduardo Mondlane aliuwawa kwa bomu jijini Dar es salaam ambalo lilitegwa katika kitabu alichotumiwa toka Ujerumani Magharibi na alizikwa makaburi ya kinondoni.
Nafasi yake ya uongozi wa FRELIMO ili chukuliwa na Samoa Machel
Alikuwa mteja wa mara nyingi katika mgahawa wa Zahir ulipo katika mtaa wa msikiti jijini Dar es salaam ( mgahawa huo bado upo) na aliishi katika ubalozi wa Cuba, kutoka Dar es salaam, Che Guevara alielekea Congo. Eduardo Mondlane aliuwawa kwa bomu jijini Dar es salaam ambalo lilitegwa katika kitabu alichotumiwa toka Ujerumani Magharibi na alizikwa makaburi ya kinondoni.
Nafasi yake ya uongozi wa FRELIMO ili chukuliwa na Samoa Machel