Che Malone: Tatizo la Simba ni timu kwa ujumla sio mtu mmoja

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
“Tatizo ni timu kwa ujumla na sio mtu mmoja mmoja, tatizo ni timu nzima na kama timu haijatulia mfano hata kwenye eneo la Utawala maana yake itaathiri timu nzima"

"Sijui tatizo limetokea wapi hasa ila sio kitu kizuri na timu imeathirika, kila kitu ni maandalizi na namna unaiongoza klabu naamini tulifeli kwenye maandalizi ya msimu huu”

Che Malone, Mchezaji wa klabu ya Simba
 
Hawa wakina che Malone sindio walienda pre season uturuki wakijinasibu wamejiandaa vyema na wapo kamiligado kuivaa premier league, na uzur media ziliwamulikaaa hasa huyu aliongea sanaa kuhusu ubora wa timu,
 
Lawama hazikwepeki timu inapofanya vibaya, viongozi watalaumiwa kwa sehemu yao na wachezaji kwa sehemu yao, hata mashabiki pia kuna saa kuna kulaumiana. Ishu hapa ni akae kwenye nafasi yake kama mchezaji wa kulipwa.
ahaaa hapo sawa
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…