Dooh basi noma..nimejisikia huruma kama binadam.kwel wale ni watanwe tu wa jadi.tunawaombea mabaya ila yakiwazidia tunawaonea huruma 😂Tafuta YouTube interview yake
Kufungwa simba kwa sasa siyo kitu cha kuomba tena. Kesho itasema!Timu ina hali mbaya kwa sababu ya watu wachache ndani ya timu wasio na upendo na timu tarehe 25 akili zitawakaa sawa watakapo oona watu hawazidi elf 5 uwanjani kitu pekee nachoomba tufungwe tena nyingi ili mambo yatibuke zaidi ikiwezekana tupoteze mechi zote hadi za ligi
Kufungwa simba kwa sasa siyo kitu cha kuomba tena. Kesho itasema!
Kabisa mkuu...Hali mbaya .Dooh basi noma..nimejisikia huruma kama binadam.kwel wale ni watanwe tu wa jadi.tunawaombea mabaya ila yakiwazidia tunawaonea huruma [emoji23]
Duuh usifike huko mkuu[emoji1]Timu ina hali mbaya kwa sababu ya watu wachache ndani ya timu wasio na upendo na timu tarehe 25 akili zitawakaa sawa watakapo oona watu hawazidi elf 5 uwanjani kitu pekee nachoomba tufungwe tena nyingi ili mambo yatibuke zaidi ikiwezekana tupoteze mechi zote hadi za ligi
Mo BarbraMudi karanga
Duuh usifike huko mkuu[emoji1]
Nakubaliana na wee.Mangungu na familia yake wanatosha kuwapa support, sisi tumesema hata kwenye vibanda umiza hatutahudhuria itakuwa kwa Mkapa?