Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
HATUWEZI KUWAAHIDI CHOCHOTE MASHABIKI ILA TUNAWAITAJI KESHO
Beki wa kati wa wekundu wa msimbazi Simba Che Malone Fondoh amefunguka juu ya maandalizi waliyofanya kuelekea mchezo wao wa kesho wa ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya ASEC Mimosas na amewataka mashabiki wa Simba kuwaunga mkono na kutowatelekeza kwasababu ya hali ya klabu yao kwa sasa
"Hatuwezi waahidi kitu ambacho hatutoweza kukitimiza na hawawezi kututelekeza kwasasa tunawaitaji waje kwawingi kutusukuma kupata matokeo katika mchezo wa kesho" Che Malone Fondoh
.
#FutbalPlanetUpdates
Daah simba ndo tumefika huku....[emoji47][emoji47]
Beki wa kati wa wekundu wa msimbazi Simba Che Malone Fondoh amefunguka juu ya maandalizi waliyofanya kuelekea mchezo wao wa kesho wa ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya ASEC Mimosas na amewataka mashabiki wa Simba kuwaunga mkono na kutowatelekeza kwasababu ya hali ya klabu yao kwa sasa
"Hatuwezi waahidi kitu ambacho hatutoweza kukitimiza na hawawezi kututelekeza kwasasa tunawaitaji waje kwawingi kutusukuma kupata matokeo katika mchezo wa kesho" Che Malone Fondoh
.
#FutbalPlanetUpdates
Daah simba ndo tumefika huku....[emoji47][emoji47]