Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania tuna onekana hatuna akili sababu tunaongozwa na viazi
Kenya umeiona hapo? Cheap kumaanisha nini hasa? Maana huku Daladala hadi za jero zipo, wali wa buku upo.., cheap how?
Ni cheap kwa wazawa ila sio kwa watalii maana watalii huwa hawapandi daladala.Kenya umeiona hapo? Cheap kumaanisha nini hasa? Maana huku Daladala hadi za jero zipo, wali wa buku upo.., cheap how?
Nani anawazuia kukaa hizo cheap? Kwamba ukalale Sheraton ulipe bei za Sinza? Au cheap iwe vipi sasa?Ni cheap kwa wazawa ila sio kwa watalii maana watalii huwa hawapandi daladala.
Pia nina mashaka na makodi ni mengi plus urasimu/ukiritimba ndio imetufanya tusiwepo kwenye list ya cheap countries.
Because we are not cheap.
Yaan unacompare rwanda na zanzibar?????Zanzibar mnaweka makodi makubwa mtawaweza Rwanda?
Kwan wageni wamekatazwa kutumia hivyo vitu cheap vya wazawa....Ni cheap kwa wazawa ila sio kwa watalii maana watalii huwa hawapandi daladala.
Pia nina mashaka na makodi ni mengi plus urasimu/ukiritimba ndio imetufanya tusiwepo kwenye list ya cheap countries.
Kwa hiyo wewe unataka mtalii akija awe anajichanganya tandale na kupanda daladala kama unavyoishi wewe?unajua kuhusu mambo ya usalama?inaonekana hujawahi kusafiri hata kwenda Burundi ndio maana unaropoka halafu mwenyewe unajiona bonge la Genius etiKwan wageni wamekatazwa kutumia hivyo vitu cheap vya wazawa....
Kwani humu jf siku hiz kumekuaje mbona people zmekua vilaza sanaa
Kwa mfano mtalii amekuja kwa lengo la kutembelea Ngorongoro kwa wiki 2 kwa hiyo akitaka kula chakula awe anasafiri kwenda Arusha Ngarenaro ale lunch halafu asafiri jioni kwenda kulala Ngorongoro si ndio?chekecha akili ndugu si kila kitu hadi ufundishwe.Nani anawazuia kukaa hizo cheap? Kwamba ukalale Sheraton ulipe bei za Sinza? Au cheap iwe vipi sasa?
📌📌🔨Wapotoshaji wanaweza kutengeneza taarifa zisizo za kweli kwa njia ya takwimu katika sekta tofautitofauti, hivyo ni vema kuthibitisha taarifa za kitakwimu unazokutana nazo ili kudhibiti upotoshaji.
Unapohitaji msaada wa uhakiki wasilisha taarifa yako katika jukwaa la JamiiCheck.com ili ipatiwe uhalisia kamili.
Tour companies zinaafanya hayo yote, wao ndio wanajua, we lipa wakuhudumie.Kwa mfano mtalii amekuja kwa lengo la kutembelea Ngorongoro kwa wiki 2 kwa hiyo akitaka kula chakula awe anasafiri kwenda Arusha Ngarenaro ale lunch halafu asafiri jioni kwenda kulala Ngorongoro si ndio?chekecha akili ndugu si kila kitu hadi ufundishwe.
Ngoja siku moja niende Malawi angalau
Najua hilo,na wewe kama ulikuwa unajua hilo usingebishana na mimi mwanzoni.Tour companies zinaafanya hayo yote, wao ndio wanajua, we lipa wakuhudumie.