Cheapest countries to travel to in 2025: Tanzania hatumo, tunakwama wapi?

Cheapest countries to travel to in 2025: Tanzania hatumo, tunakwama wapi?

Zenji ni expensive kuanzia accommodation na chakula.
Sababu ina vivutio vinavyovutia wengi

Wateja wakiwa wengi na eneo dogo unapandisha bei

Zanzibar padogo ila wateja wengi wanapataka kutalii
 
Maisha ya msafiri (mtalii) anayekuja Tanzania yamezungukwa na urasimu na gharama kubwa kupitiliza. Yaani bidhaa na huduma rasmi huuzwa kwa bei yenye tofauti kubwa mnoo (zaidi ya mara nne) kati ya mwenyeji (mtanzania) na mgeni (mtalii). Yaani mtalii amewekewa bei yake!
 
Maisha ya msafiri (mtalii) anayekuja Tanzania yamezungukwa na urasimu na gharama kubwa kupitiliza. Yaani bidhaa na huduma rasmi huuzwa kwa bei yenye tofauti kubwa mnoo (zaidi ya mara nne) kati ya mwenyeji (mtanzania) na mgeni (mtalii). Yaani mtalii amewekewa bei yake!
Uongo mkubwa
Mfano mtalii akitaka kula kwa mama ntilie kuna mtu anamkataza? Au mama nitilie anampa bei tofauti na watanzania?

Mtalii.akipanda daladala au bodaboda atachajiwa pesa tofauti na mtanzania? Au kuna mtu anamzuia mtalii asipande daladala au bodaboda?
Acha uongo wewe
 
Kwa Afrika zipo Rwanda, Ghana, Burkina Faso, Mali na Malawi.

View attachment 3270222
Kwanza kuwa Cheap sio sifa, Nimeangalia in deep hizo Nchi, kuna Nchi By average mtalii ana spend Euro 12 kwa siku, si upuuzi huo, yani mtu atoke Ulaya aje Tanzania akae siku 5 aliingizie taifa Euro 60 tu?

Mfano mzuri huyo Jirani hapo Rwanda pato lake la utalii hata 1B usd haifiki, japo ana matangazo kila sehemu, sijui hata kama anapata faida.

Data za Tanzania hizi hapa

Watalii kama Milioni 2 na Mapato kama 3B usd, by average mtalii anaacha si kama 1.5K usd.

Watu wakienda kutalii hawafuati sehemu za bei rahisi la Sivyo Watanzania wengi wangeenda Vacation Burundi.
 
Uongo mkubwa
Mfano mtalii akitaka kula kwa mama ntilie kuna mtu anamkataza? Au mama nitilie anampa bei tofauti na watanzania?

Mtalii.akipanda daladala au bodaboda atachajiwa pesa tofauti na mtanzania? Au kuna mtu anamzuia mtalii asipande daladala au bodaboda?
Acha uongo wewe
We nawe ina maana hujui kama watalii wanachajiwa tofauti? Nenda Azam Marine pale bila ushahidi wa Utanzania wako utaona utaambiwa dola ngap
 
Zanzibar mnaweka makodi makubwa mtawaweza Rwanda?
Rwanda inatumia hela nyingi mno, Takriban 40M usd kujitangaza tu na pato lao la utalii ni kama $600M

Tanzania Pato la Utalii ni $3B kama mara 5 ya Rwanda.

Watalii Rwanda ni 1.4M na Tanzania 2M

Mtalii Rwanda anaacha kama Dola 400, na Tanzania kama dola 1500.

Sio tu tumewapita bali tumewachakaza kabisa kwenye Utalii, nchi pekee ukanda wetu ambayo imetupita ni Kenya nayo pia huoni kwenye list hio.

Kifupi ni ujinga kujisifia kuwa cheap kwenye utalii.
 
Sababu ina vivutio vinavyovutia wengi

Wateja wakiwa wengi na eneo dogo unapandisha bei

Zanzibar padogo ila wateja wengi wanapataka kutalii
Hakuna miundombinu ndio tatizo kubwa. Hotel ni chache pia
 
Back
Top Bottom