Mwanangu nipo salama, Mungu mkubwa!Brother ni adjee....... Uko poa aseeh maake nasikia mjini Hali sio nzuri π’
Aise ni kazi unajua kabisa jamaa alikula mzigo watoto unakuwa uamin ni kama wako.Bado itakusumbua
Sikuhizi kote kugumu
Ndoa ni jehanamu kubwa...si ndogo Tena...Mara Mia ukavumilia upweke kuliko kuvumilia adui unaeishi nae nyumba moja na kilasiku unamuona.Ogopa sana
Aseeh tunashkr Mungu kwa ajili yenu na wote mkuu.. AmenMwanangu nipo salama, Mungu mkubwa!
nampuuza tu huyo wa mkoani huku mimi na mke wangu tukiendelea kuinjoy na kufyatua watoto kadiri ya Neema na Baraka za Mungu πWadau ukigundua mkeo ulioko naye sasa alikusaliti wakati mkiwa wachumba na ukagundua huyo aliyeku-cheat naye wanaendelea na mawasiliano japokuwa wako mikoa tofauti na wewe mume muko na watoto UTAFANYA MAAMUZI YAPI
pamoja na huyo mkeo kuomba msamaha
Adhabu yote iyo ni kwakua kakucheat tu??Najua itakutesa sana, maisha yako yote. Ili kurudisha furaha yako,fanya hivi:-
Andikisha mali zote kwa mama/baba yako Tafuta mchepuko/ nyumba ndogo na uzae naye Wekeza mapenzi nyumba ndogo na kwa watoto. Baada ya hapo, mwambie mkeo anaweza kuondoka hapo nyumbani na kwenda kuishi kwa mpenzi wake wa zamani.
Ukipuuza utakuja kufa kabla ya wakati wako inawezekana hata watoto unao fyatua sio wako na kama ni wako nenda kapume DNA ndio jibu la hao unaofyatuanampuuza tu huyo wa mkoani huku mimi na mke wangu tukiendelea kuinjoy na kufyatua watoto kadiri ya Neema na Baraka za Mungu π
Another Man Down.....ila nyie mnapopiga mishangazi na mapisi mnajiona wajanja....wanawake wakidanya wao wabayaWadau ukigundua mkeo ulioko naye sasa alikusaliti wakati mkiwa wachumba na ukagundua huyo aliyeku-cheat naye wanaendelea na mawasiliano japokuwa wako mikoa tofauti na wewe mume muko na watoto UTAFANYA MAAMUZI YAPI
pamoja na huyo mkeo kuomba msamaha
Huyu jamaa alipuuza red flag.Wanawake wote wako hivyo; kwa kifupi miaka yote hiyo 7 alikuwa anamla pamoja na wewe unamla!
Hio itakuwa maleria sugu ata ukiitibu haiponi unajua mkuu mwanamke kama alikuwa tayari na mahusiano huko nyuma na mtu wake hawezi kuachana nae na Kuna uwezekano mkubwa ukakuta hata hao watoto sio wako na kama huniamini nenda kapume DNA na kama huna subira usipime DNA utakuja kufanya jambo hukulitegemea katika maisha yakoMkuu hivi ukiumwa.maralia utakata kichwa kisi kuume au utatibu maralia inayo sababisha kichwa kuuma?
Matatizo nikama nguo na nguo sio nguo Kama haivalikiHio itakuwa maleria sugu ata ukiitibu haiponi unajua mkuu mwanamke kama alikuwa tayari na mahusiano huko nyuma na mtu wake hawezi kuachana nae na Kuna uwezekano mkubwa ukakuta hata hao watoto sio wako na kama huniamini nenda kapume DNA na kama huna subira usipime DNA utakuja kufanya jambo hukulitegemea katika maisha yako
What is it that u insinuating?π€π€π€Huyo mchepuko atamkuta yupo single au nae ana x wake
kabisa aisee pasua kichwa sanaSometime wanaodai tuoe bikra wana hoja ya msingi
As long as hujaoa aliye bikra, umeoa mke wa mtu...na kwa sasa 99% tunaoa waliotumika kwa wengine...Umeoa mwanamke wa mtu
Utalia kama ambulance
gentleman,Ukipuuza utakuja kufa kabla ya wakati wako inawezekana hata watoto unao fyatua sio wako na kama ni wako nenda kapume DNA ndio jibu la hao unaofyatua