green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Huo upumbavuKwenye kikao tulikubaliana kuchapiwa ni siri ya ndani..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo upumbavuKwenye kikao tulikubaliana kuchapiwa ni siri ya ndani..!!
Kwahiyo utapita mitaani kutangaza umechapiwa kwamba ndo siyo upumbavu..!!Huo upumbavu
Ukiachana naye kienyeji, atatafuta haki zake za kumiliki mali, na akifanikiwa, mali zako anaenda kutumbua na wauni wengine.Adhabu yote iyo ni kwakua kakucheat tu??
Si uachane nae sasa hivi, vipi akigundua huo mpango wako na akakudedisha maana hapo ni kuwindana tu.
Atafute aliyejeruhiwa tayariHuyo mchepuko atamkuta yupo single au nae ana x wake
Mwisho muuane kijinga tu aisee.Ukiachana naye kienyeji, atatafuta haki zake za kumiliki mali, na akifanikiwa, mali zako anaenda kutumbua na wauni wengine.
naye yuko na familiaHuyo mchepuko atamkuta yupo single au nae ana x wake
hatari sanaWanawake wote wako hivyo; kwa kifupi miaka yote hiyo 7 alikuwa anamla pamoja na wewe unamla!
ndo naona kinachoenda kutokeaMwisho muuane kijinga tu aisee.
Kila la kheri.
Wadau ukigundua mkeo ulioko naye sasa alikusaliti wakati mkiwa wachumba na ukagundua huyo aliyeku-cheat naye wanaendelea na mawasiliano japokuwa wako mikoa tofauti na wewe mume muko na watoto UTAFANYA MAAMUZI YAPI
pamoja na huyo mkeo kuomba msamaha