Cheating

Cheating

Shost aligundua mume wake anacheat on her. Tena kheri akubali na aombe msamaha jamaa alikataa kabisa. Bi shost ni alwatan mjini alapigiwa simu juwa jamaa ameonekana maeneo na totoz mbili mmojawapo ni yule adui wake.
Shost alimuuliza jamaa, kama kawaida alikataa tena alisema hakuwepo mjini. Bank statement ilipoanguka jamaa alikipa bill 200,000 samaki samaki siku ile shost aliidaka
alafu wewe unapenda kuishia njiani na vistory vyako hivi, ebu malizia sasa
 
Shost aligundua mume wake anacheat on her. Tena kheri akubali na aombe msamaha jamaa alikataa kabisa. Bi shost ni alwatan mjini alapigiwa simu juwa jamaa ameonekana maeneo na totoz mbili mmojawapo ni yule adui wake.
Shost alimuuliza jamaa, kama kawaida alikataa tena alisema hakuwepo mjini. Bank statement ilipoanguka jamaa alikipa bill 200,000 samaki samaki siku ile shost aliidaka
Eheee ikawaje???? [emoji101][emoji101][emoji101][emoji101]
 
GBWA-20180206154631.jpeg
 
Ah ah ah aaa

Nimeona hiyo japo nimejaribu kuwaza mume angetaka kula denda na mkewe ghafla ingekuwaje?

Au ndio yale unavumilia tuu ukitoka hapo unajitapisha mpaka nyongo itoke?
Anyway nimewaza mengi sana,
Siku hiyo mood ya denda hakuna wala mchezo no. Unamwekea bank statement kitandani na una highlight zile tarehe
 
chekeni kidogo tusahau mambo ya kucheat maana sio ya kuzungumzia kirahis hivi
Acha tuu shogaa, nimeshindwa kuvumilia nikajikuta nimesimamisha maskio kama antenna [emoji28][emoji28][emoji28]
hahahahahah cjui ameenda wapi jaman
mie nasubiria kabissaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom