Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,690
- 14,477
Ndio hivyo next time mume makini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ok ngoja nirudie, useme ame edit ama?
acha nirudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo next time mume makini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ok ngoja nirudie, useme ame edit ama?
acha nirudi
jaman jamanShost aligundua mume wake anacheat on her. Tena kheri akubali na aombe msamaha jamaa alikataa kabisa. Bi shost ni alwatan mjini alapigiwa simu juwa jamaa ameonekana maeneo na totoz mbili mmojawapo ni yule adui wake.
Shost alimuuliza jamaa, kama kawaida alikataa tena alisema hakuwepo mjini. Bank statement ilipoanguka jamaa alikipa bill 200,000 samaki samaki siku ile shost aliidaka.
Alimpa mbwa chakula kwenye dinner plate, mbwa alimaliza supu na kulamba sahani. Aliichukua ile sahani pasi kuiosha akamuwekea mumewe chakula.
Wakati jamaa anapambana na mate ya mbwa yeye moyo wake burdani.
hahahaha nimeona aiseeNdio hivyo next time mume makini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio umshtue na Jolie aone hasira za mwanamke mwenziehahahaha nimeona aisee
hahahahaha acha nimstueNdio umshtue na Jolie aone hasira za mwanamke mwenzie
Jolie Jolie ukuje uone hasira za mwanamke mwenzioShost aligundua mume wake anacheat on her. Tena kheri akubali na aombe msamaha jamaa alikataa kabisa. Bi shost ni alwatan mjini alapigiwa simu juwa jamaa ameonekana maeneo na totoz mbili mmojawapo ni yule adui wake.
Shost alimuuliza jamaa, kama kawaida alikataa tena alisema hakuwepo mjini. Bank statement ilipoanguka jamaa alikipa bill 200,000 samaki samaki siku ile shost aliidaka.
Alimpa mbwa chakula kwenye dinner plate, mbwa alimaliza supu na kulamba sahani. Aliichukua ile sahani pasi kuiosha akamuwekea mumewe chakula.
Wakati jamaa anapambana na mate ya mbwa yeye moyo wake burdani.
Hata asipodendwa siku hio, the day anadendwa unadhani atawaza nini? Anadendwa na mbwaweee...!!!Siku hiyo mood ya denda hakuna wala mchezo no. Unamwekea bank statement kitandani na una highlight zile tarehe
unajua kuna wakati huwa nawashangaa sana wanaume, unaweza kuta anasapoti michepuko kuliko home kwake bila kujua akiugua mchepuko hauwezi kumsaidia kwa lolote unless useme hana heshima kwa mkewe.Ndio umshtue na Jolie aone hasira za mwanamke mwenzie
Sometimes tuna ya tafuta sisi wenyewe, kisa umekuwa mke wa mtu ndiyo kushinda na madera, tena unakuta mume anafanya mazoezi wewe unaangalia tamthiliaunajua kuna wakati huwa nawashangaa sana wanaume, unaweza kuta anasapoti michepuko kuliko home kwake bila kujua akiugua mchepuko hauwezi kumsaidia kwa lolote unless useme hana heshima kwa mkewe.
Wanaume badiliken pls kama mnataka kuendelea kuishi maana sio kwa dizaini hii mlio nayo.
NB. sio wanaume wote but baadhi wako hivyo, mjaribu kujua immediate family is very important and that should stick in your minds.
Haaaaah....aiseeehata sisi tunacheat kwaajili ya dudu tu sio for love
hapo ni sawa ila anamkomoa nani? wakae wayazungumze.Sometimes tuna ya tafuta sisi wenyewe, kisa umekuwa mke wa mtu ndiyo kushinda na madera, tena unakuta mume anafanya mazoezi wewe unaangalia tamthilia