Cheating

Cheating

Shost aligundua mume wake anacheat on her. Tena kheri akubali na aombe msamaha jamaa alikataa kabisa. Bi shost ni alwatan mjini alapigiwa simu juwa jamaa ameonekana maeneo na totoz mbili mmojawapo ni yule adui wake.
Shost alimuuliza jamaa, kama kawaida alikataa tena alisema hakuwepo mjini. Bank statement ilipoanguka jamaa alikipa bill 200,000 samaki samaki siku ile shost aliidaka.

Alimpa mbwa chakula kwenye dinner plate, mbwa alimaliza supu na kulamba sahani. Aliichukua ile sahani pasi kuiosha akamuwekea mumewe chakula.

Wakati jamaa anapambana na mate ya mbwa yeye moyo wake burdani.
jaman jaman
ndo alimkomesha ama? hasira zingine ni shidaaaaa
 
Shost aligundua mume wake anacheat on her. Tena kheri akubali na aombe msamaha jamaa alikataa kabisa. Bi shost ni alwatan mjini alapigiwa simu juwa jamaa ameonekana maeneo na totoz mbili mmojawapo ni yule adui wake.
Shost alimuuliza jamaa, kama kawaida alikataa tena alisema hakuwepo mjini. Bank statement ilipoanguka jamaa alikipa bill 200,000 samaki samaki siku ile shost aliidaka.

Alimpa mbwa chakula kwenye dinner plate, mbwa alimaliza supu na kulamba sahani. Aliichukua ile sahani pasi kuiosha akamuwekea mumewe chakula.

Wakati jamaa anapambana na mate ya mbwa yeye moyo wake burdani.
Jolie Jolie ukuje uone hasira za mwanamke mwenzio
 
Siku hiyo mood ya denda hakuna wala mchezo no. Unamwekea bank statement kitandani na una highlight zile tarehe
Hata asipodendwa siku hio, the day anadendwa unadhani atawaza nini? Anadendwa na mbwaweee...!!!
 
Ndio umshtue na Jolie aone hasira za mwanamke mwenzie
unajua kuna wakati huwa nawashangaa sana wanaume, unaweza kuta anasapoti michepuko kuliko home kwake bila kujua akiugua mchepuko hauwezi kumsaidia kwa lolote unless useme hana heshima kwa mkewe.
Wanaume badiliken pls kama mnataka kuendelea kuishi maana sio kwa dizaini hii mlio nayo.

NB. sio wanaume wote but baadhi wako hivyo, mjaribu kujua immediate family is very important and that should stick in your minds.
 
unajua kuna wakati huwa nawashangaa sana wanaume, unaweza kuta anasapoti michepuko kuliko home kwake bila kujua akiugua mchepuko hauwezi kumsaidia kwa lolote unless useme hana heshima kwa mkewe.
Wanaume badiliken pls kama mnataka kuendelea kuishi maana sio kwa dizaini hii mlio nayo.

NB. sio wanaume wote but baadhi wako hivyo, mjaribu kujua immediate family is very important and that should stick in your minds.
Sometimes tuna ya tafuta sisi wenyewe, kisa umekuwa mke wa mtu ndiyo kushinda na madera, tena unakuta mume anafanya mazoezi wewe unaangalia tamthilia
 
Sometimes tuna ya tafuta sisi wenyewe, kisa umekuwa mke wa mtu ndiyo kushinda na madera, tena unakuta mume anafanya mazoezi wewe unaangalia tamthilia
hapo ni sawa ila anamkomoa nani? wakae wayazungumze.
mke na mume ni marafiki na sio maadui na hivyo hupelekea siku zote watoto kuteseka
 
Back
Top Bottom