Cheche: Ya Mboma, Meremeta, na Apson!

 

.... FMES, tudokezee hayo majamboz mkuu wangu!! Inabidi kila maovu tuyaweke kwenye print, moja baada ya jingine, vizazi vijavyo vije vione tulikotoka vikiwa na nyaraka zenye maandishi.
 
ningekuwa mimi serikali ningehakikisha Cheche ya kesho haitoki!
 
Kazi ya kusambaza naona imepamba moto, kuna jamaa bila kujua kama nipo ktk mtandao, kanitunimia kijijalada hicho. Hebu tuone itakavyokuwa...
 
...itoke mara ngapi wakati mimi nilisha iprint tayari... nagawa copy kuanzia Mwanza South, Mwaloni mpaka Pansiasi(kwenyewe)!!!

mmh.. hakikisha husogeli pale kwenye roundabout ya karibu na makao makuu ya CCM (karibu na Gandhi Hall)..
 
The house is on fire!! Ahsante MKJJ, mambo mengi yaliyotaka ufumbuzi wa KASI yamekua yanapigwa chenga..ama kweli huu ni mchezo wa kuigiza.
Kwa kweli, EPA ni cha mtoto ukifatilia hii issue kwa karibu. Uteuzi wa mawaziri katika wizara nyeti na teuzi katika mambo nyeti amepangwa kuficha maovu badala ya kutatua matatizo (BIG MISTAKE!!)
Hivi tunakwenda mbele au tunarudi nyuma? Ukabila, Udini etc. pia vimeweza kujipenyeza katika mapungufu makubwa ya uongozi wa sasa.
 
Kazi ya kusambaza naona imepamba moto, kuna jamaa bila kujua kama nipo ktk mtandao, kanitunimia kijijalada hicho. Hebu tuone itakavyokuwa...

Wandugu mimi sijapata kijarida cha wiki hii na kuna watu kibao huwa nawasambazia wananisubiri sasa nifanyeje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…