Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Subirini punguza munkali vijana selection huwaga zinatoka wengine wanakua bado wameandikiwa hivyo hivyo checking in progress hiyo ni system inatika computer mpaka iperform calculations ya matoleo yako ili ijue kama unavigezo kueni wapole mbona sisi tulikua na subira tu maionee tcu hiyo ni system ndo inachelewa kimbukemi sio nyie peke yenu mnaaply
unamaanisha ata hao ambao huwa wameandikiwa checking in progress ujikuta wamechanguliwa na tcu kujiunga na vyuo?
As long as wamemit requirments
Mi nimejaa wasi wasi tu