Cheedy: Kuvunja mkataba Konde gang ni Billioni 1 ila wao wakivunja mkataba na wewe ni million 10

Cheedy: Kuvunja mkataba Konde gang ni Billioni 1 ila wao wakivunja mkataba na wewe ni million 10

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Msanii Cheedy hivi karibuni Konde Kang walivunja mkataba nae ikalazimika imlipe million 10 kama sehemu ya kuvunja mkataba.

Wakati akihojiwa na East Africa Radio, Cheedy amefunguka kuwa; "Mkataba waliotengeneza Konde Gang hauendani na uwekezaji wanaouweka kwa sisi wasanii. Haiwezekani uweke kipengele cha kuvunja mkataba nao ni lazima ulipe billion 1 wakati hakuna uwekezaji wa maana uliyoweka ufanye ulipe hiyo hela.

"Nilitegemea vitu vingi, nashangaa kwa muda wote niliyokuwa pale sijapata hata promotion yakuweleweka yakufanya niuze kazi zangu."
 
Kwa uhalisia Harmonize hakupaswa kuwa na label.

Alitakiwa awe na Management nzuri tu, ili imsaidie yeye.
Ukishakuwa na label ambayo wasanii wake hawafanyi show inakuwa kazi kubwa sana
Usitufundishe kufanya Kazi , KWANZA wewe hapo huujui mziki hata kidogo..

UMEJAA mi UTI unatuletea swaga za kiwaki...., Haya ndo tushakua na label sasa..unasemaje?
 
Back
Top Bottom