Msanii Cheedy hivi karibuni Konde Kang walivunja mkataba nae ikalazimika imlipe million 10 kama sehemu ya kuvunja mkataba.
Wakati akihojiwa na East Africa Radio, Cheedy amefunguka kuwa; "Mkataba waliotengeneza Konde Gang hauendani na uwekezaji wanaouweka kwa sisi wasanii. Haiwezekani uweke kipengele cha kuvunja mkataba nao ni lazima ulipe billion 1 wakati hakuna uwekezaji wa maana uliyoweka ufanye ulipe hiyo hela.
"Nilitegemea vitu vingi, nashangaa kwa muda wote niliyokuwa pale sijapata hata promotion yakuweleweka yakufanya niuze kazi zangu."
Wakati akihojiwa na East Africa Radio, Cheedy amefunguka kuwa; "Mkataba waliotengeneza Konde Gang hauendani na uwekezaji wanaouweka kwa sisi wasanii. Haiwezekani uweke kipengele cha kuvunja mkataba nao ni lazima ulipe billion 1 wakati hakuna uwekezaji wa maana uliyoweka ufanye ulipe hiyo hela.
"Nilitegemea vitu vingi, nashangaa kwa muda wote niliyokuwa pale sijapata hata promotion yakuweleweka yakufanya niuze kazi zangu."