Cheik Tiote afariki Dunia akiwa mazoezini

Kumbe aliyepost ni mteja wa Vodacom?R.I.P Tiote.
 
Allah amsamehe mapungufu yake

Mapungufu hnaombewa na kusamehewa ukiwa duniani,Ukishakufa ukurasa wako unafungwa!

Angalia wabunge na serikali inavyofanya wanajua wakifa wataombewa waione Mbingu,ha ha ha labda mbingu yao walipoficha hela za dhulma
 
Mapungufu hnaombewa na kusamehewa ukiwa duniani,Ukishakufa ukurasa wako unafungwa!

Angalia wabunge na serikali inavyofanya wanajua wakifa wataombewa waione Mbingu,ha ha ha labda mbingu yao walipoficha hela za dhulma
wengi hawajuagi hilo.ukishakufa habari imeisha.ndo maan tunaambiwa tutubuni kabka ya muda
 
Mapungufu hnaombewa na kusamehewa ukiwa duniani,Ukishakufa ukurasa wako unafungwa!

Angalia wabunge na serikali inavyofanya wanajua wakifa wataombewa waione Mbingu,ha ha ha labda mbingu yao walipoficha hela za dhulma
....lione hili fala!
...bichwa linawaza siasa tu muda wote!
.utakufa lofa bwege wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…