Idd Omary
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 250
- 37
Mwalimu mmoja wa shule ya sekondary Kiraracha mkoani kilimanjaro afumaniwa akiwa akiwa na mke wa headmaster huku headmaster akijua huyu ni mwalimu wake wa pekee ktk hesabu shuleni hapo. Aliamua kumsamehe tuu ili iwe siri aendelee kufundisha!!! Shule yenyewe ya serikali alafu inawaonea huruma wanafunzi wengine hata wasio na nidham na vilaza kuwatolea mkeo kafara ili tuu wasome. Aaa hapana sitakubali acha wafeli wote mwalimu hana kazi tena namtupa jela miaka3!!!