Cheki injini hii mtanikoma

Cheki injini hii mtanikoma

D Metakelfin

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2017
Posts
3,399
Reaction score
3,666
Gari yangu ya mwanzo ist kwa kweli Nilikuwa nawaonea wivu sana mkitamba humu ila Nilikuwa sina la kusema.

Nimenunua unyama mwingine wa subaru na leo nlikuwa kwa fundi kufanya marekebisho ya injini.
Maana mi ni mpenzi wa ligi barabarani ndugu yangu elibariki baadae uje tukutane uhasibu nataka tuitest na hiyo audi yako mpaka kibada.

Mmenitesa sana Na nyuzi za gari zenu mkanifanya niazime magari ya watu kwa ajili ya ligi.

Hapa nshanunua ice cube(na jambo nazo)

Ngoja nicheki movie saa tatu na nusu tukutane uhasibu kwa yeyote mwingine atayehitaji mi ntakua kwenye kitimoto pale pembeni barabara ya mbele kulia ukisogea mbele kidogo kuna demu anauza anita huwa anauza pale.
Ahsante kwa Atakayehitaji kushindana pia anaweza kunicheki pm
 

Attachments

  • DSC_0730.JPG
    DSC_0730.JPG
    2 MB · Views: 27
  • DSC_0729.JPG
    DSC_0729.JPG
    936.7 KB · Views: 34
Kuwa makini na Race mzazofanya barabarani.

MWISHO WA MWAKA UNA MAMBO MENGI.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Gari yangu ya mwanzo ist kwa kweli Nilikuwa nawaonea wivu sana mkitamba humu ila Nilikuwa sina la kusema.

Nimenunua unyama mwingine wa subaru na leo nlikuwa kwa fundi kufanya marekebisho ya injini.
Maana mi ni mpenzi wa ligi barabarani ndugu yangu elibariki baadae uje tukutane uhasibu nataka tuitest na hiyo audi yako mpaka kibada.

Mmenitesa sana Na nyuzi za gari zenu mkanifanya niazime magari ya watu kwa ajili ya ligi.

Hapa nshanunua ice cube(na jambo nazo)

Ngoja nicheki movie saa tatu na nusu tukutane uhasibu kwa yeyote mwingine atayehitaji mi ntakua kwenye kitimoto pale pembeni barabara ya mbele kulia ukisogea mbele kidogo kuna demu anauza anita huwa anauza pale.
Ahsante kwa Atakayehitaji kushindana pia anaweza kunicheki pm
Kwa kimeo hiki utaaibika bure.
 
Hongera mkuu,nina ndoto za kumiliki harrier au kluger,naamini ndani ya miaka mitatu nitakuwa nimeshanunua moja ya hizo gari
 
Back
Top Bottom