CHEKI: Kwa hakika Magaidi ya Hezbollah yalijiandaa

CHEKI: Kwa hakika Magaidi ya Hezbollah yalijiandaa

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Screenshot_20241005-131503.jpg

(Hii ni kambi Moja tu)
(Na mlengwa alikuwa Israel)
( Iran na Hawa jamaa walikuwa na agenda ya kuiangamizi na kuifuta Israel)

Israel ashukuru sana Mungu aliyempa akili za ziada na akaendelea kusimama naye.

Hiyo mitambo imeshateketezwa sehemu kubwa sana kwa uwezo wa Israel.
 
View attachment 3115981
(Hii ni kambi Moja tu)
(Na mlengwa alikuwa Israel)
( Iran na Hawa jamaa walikuwa na agenda ya kuiangamizi na kuifuta Israel)

Israel ashukuru sana Mungu aliyempa akili za ziada na akaendelea kusimama naye.

Hiyo mitambo imeshateketezwa sehemu kubwa sana kwa uwezo wa Israel.
Lets say ulichoandika ni kweli

Anti-Aircraft missile ina maana inatungua threat za kwenye Anga, mtambo ambao unatungua threat za Anga ni kwa ajili ya kujilinda na Israel ama kuangamiza?

Munajaribu sana kuwasafisha hao wa Israel ila hawasafishiki.
 
Wa
View attachment 3115981
(Hii ni kambi Moja tu)
(Na mlengwa alikuwa Israel)
( Iran na Hawa jamaa walikuwa na agenda ya kuiangamizi na kuifuta Israel)

Israel ashukuru sana Mungu aliyempa akili za ziada na akaendelea kusimama naye.

Hiyo mitambo imeshateketezwa sehemu kubwa sana kwa uwezo wa Israel.
Wakiristo wa jf kila muislam kwao gaidi
 
View attachment 3115981
(Hii ni kambi Moja tu)
(Na mlengwa alikuwa Israel)
( Iran na Hawa jamaa walikuwa na agenda ya kuiangamizi na kuifuta Israel)

Israel ashukuru sana Mungu aliyempa akili za ziada na akaendelea kusimama naye.

Hiyo mitambo imeshateketezwa sehemu kubwa sana kwa uwezo wa Israel.
Hayo ni manati tu kwa Israel, hadi viongozi waandamizi wa kikundi cha kigaidi cha Hezbollah wanauawa kirahisi vile hayo manati yanafanya kazi gani na waga yako wapi.
 
View attachment 3115981
(Hii ni kambi Moja tu)
(Na mlengwa alikuwa Israel)
( Iran na Hawa jamaa walikuwa na agenda ya kuiangamizi na kuifuta Israel)

Israel ashukuru sana Mungu aliyempa akili za ziada na akaendelea kusimama naye.

Hiyo mitambo imeshateketezwa sehemu kubwa sana kwa uwezo wa Israel.
Devil fingers
 
View attachment 3115981
(Hii ni kambi Moja tu)
(Na mlengwa alikuwa Israel)
( Iran na Hawa jamaa walikuwa na agenda ya kuiangamizi na kuifuta Israel)

Israel ashukuru sana Mungu aliyempa akili za ziada na akaendelea kusimama naye.

Hiyo mitambo imeshateketezwa sehemu kubwa sana kwa uwezo wa Israel.
Kwahiyo wewe ulitaka Hizbollah watumie mawe?
 
Back
Top Bottom