(Hii ni kambi Moja tu)
(Na mlengwa alikuwa Israel)
( Iran na Hawa jamaa walikuwa na agenda ya kuiangamizi na kuifuta Israel)
Israel ashukuru sana Mungu aliyempa akili za ziada na akaendelea kusimama naye.
Hiyo mitambo imeshateketezwa sehemu kubwa sana kwa uwezo wa Israel.