CHEKI: Kwa hakika Magaidi ya Hezbollah yalijiandaa

Ukisoma hizi comment utagundua kuna kundi fulani hamnazo kabisa yaani empty set
 
Source: Trust me bro
 
je umeyaona ya Israel piah,Ndio mana vita haishi maana Israel na yeye Yuko vizuri
 
Ayatollah today was to dine in hell.

Amshukuru sana Mrusi amekisanua.
myahudi nae amshukuru USA na NATO coz ingekuwa tayari ishafutika kabisa duniani saa hizi watu tungekuwa tunafanya mambo mengine
 
Kondoo mmejazwa ujinhga sana. Hakuna akili ya ziada wala nini.

Hao washukuru Mungu, walipouliwa na wakristo wa Ulayta Waislam wakawapokea.

Umesahau, au ndiyo ukondoo?
 
myahudi nae amshukuru USA na NATO coz ingekuwa tayari ishafutika kabisa duniani saa hizi watu tungekuwa tunafanya mambo mengine
Nani wa kuifuta sasa Iran au?

Kwa hiyo anavyowapoteza hamas na hizibolaa anasaidiwa na USA na NATO?
 
Usiseme uwezo wa Israel sema kwa uwezo wa USA. Israel bila misaada kutoka West is a dead state
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…