Cheki nilivyo mbunifu nikifungua grocery sigara moja bure naweka na daftari la ku sign

Cheki nilivyo mbunifu nikifungua grocery sigara moja bure naweka na daftari la ku sign

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Unajua watu ukiwaambia jinsi ulivyo na akili wanakudharau rafiki sasa sikia hii mimi ipo siku naanza biashara ya pombe na mpango wangu ukija unanunua pombe me offer yangu ni sigara moja si najua pombe ina faida ya Tsh. 300 so nakupa sigara moja ya 100 mimi potelea mbali acha nipate 200 halafu sasa pale counter naweka kitabu cha kusaini ukija unasaini halafu sasa naweka na thermos yaani bia yako unaiweka ndani ya Chupa ya chai halafu situmii glass natumia vikombe vya chai. Mambo fulani tu ya uchizi uchizi ila lengo linakuwa ni kuji brand kujitofautisha na kuvutia wateja. Watakuja watu kusema nishakunywa bia asubuhi.
 
Hii ni nzuri sana mzigo unatoka mapema kwa faida ndogo ila ya haraka haraka , na unatengeneza jina kubwa , kuwa makini na wapinzani wako lakini,🙄 biashara ina vita kubwa sana, kongole kwako Mr ndege👏👏👏
 
Back
Top Bottom