Cheki walokole walichofanya hapa

Kiukweli haina shida, niliona tu akifika kwa watu wengine anaweza kuchekwa ajisikie vibaya. πŸ˜…
 
MATHAYO 11:28.

Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.


Come unto me, all ye that labour and are heavy laden, and I will give you rest.
 
Naona wanaanza kutekeleza maagizo ya Papa Fransis ya mapenzi ya jinsia moja
Ila wamekosea kuanza na Mungu wao
 
Nadhani wamefupisha TU Kwa sababu ya nafasi. Walimaanisha, "Assemblies"!
 
Naona wanaanza kutekeleza maagizo ya Papa Fransis ya mapenzi ya jinsia moja
Ila wamekosea kuanza na Mungu wao
Acha kumfikiria Mungu kwa upumbavu
Kwa maandishi yako umelaaniwa laana mbaya kuliko zote.
Ukoo wako mzima Mungu ameulaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…