Mie nina mawili.
1. Wananibore sana applicant wa diploma wanavyojiita equivalent. Hivi wewe elimu yako ya diploma ni equivalent na nini? Acheni kujizalilisha bwana mwenye form 6 ndio mwenye hamu ya kwenda chuo hata kushinda kwenye mitandao kutwa kucha kwa sababu ndio mara yake ya kwanza wakati wewe tayari umesha kuwepo chuo kwa miaka miwili au pengine mitatu. Diploma hawezi kuwa equivalent na a level. na
2. Kwa taarifa nilizonazo toka NACTE maombi yetu wameyasikia wako kwenye mchakato wa kutuwekea waheshimiwa wa diploma majibu yetu kupitia kwenye profile zetu ili watu wazima tuache kukesha tukisoma list zisizotuhusu kwenye mitandao. Na haitafika j3 tutaona.
asanteni