Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,540
Rev. nakumbuka nyani siku moja nyakati za kampeni 'Chelle alikuwa anaongea Nyani alitoa hisia kuwa mama huyo anampa kinyaa.... not sure if he now has a change of heart... ngoja tumsikie..
Hmmmm...is it me or what? I see underarm hair sprouts.....maybe she forgot to shave or something.....
Trust me, that ain't, just soft skin - too soft easily having a tan. Even so, what da heck... still natural.. the Julia Roberts way, you know ... 🙂
Come on man...don't you think it's gross for a woman to have underarm hair? At least cover up if you know you haven't shaved in a minute....
Nyaniiiiiiii,
Nasubiri Kavwasiye yangu nijiburudishe siku ya Bata mzinga.
Sasa hebu angalia huyu mwanadada mrembo, asili yake kwa kina Malikia Nzinga, ukoo unaotokea Bunyoro, Songhai, Mwanamotapa, Bumbuli, Karnem Bornu, Axum na Meroe...
Angalia alivyoumbika na tabasamu mahiri, kweli ni mrembo tosha kuwa Mama wa Taifa!
Sijui yule bibi yako anayefanana na manikini kwenye maduka atamfikiaje mrembo huyu Michelle my Belle kwa uzuri!
Pole kwa kushindwa, hamia Wassila ukajifue na mjingamjinga Paulina!
[/Q
beauty,cute,pretty....