CHELSEA BABA LAO ULAYA

RASCO BOY

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
428
Reaction score
485
Baada ya MAN U kumfunga Juventus hapo jana ni rasmi sasa CHELSEA ndiyo timu pekee katika Ligi 5 bora Ulaya ambayo haijapoteza mchezo wowote tangu kuanza kwa msimu wa 2018/2019 katika mashindano yote
 
Yaani unacheza EUROPA League halafu unajiita Baba lao?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…