Chelsea FC: Mabigwa wapya EPL 2016/2017

Chelsea FC: Mabigwa wapya EPL 2016/2017

Mmebahatisha tu! mshukuru mungu timu kama man u man city na liva hawakua stable...tuone kama msimu ujao mtachukua!
 
Mmebahatisha tu! mshukuru mungu timu kama man u man city na liva hawakua stable...tuone kama msimu ujao mtachukua!
Ubingwa ni juhudi na mipango mipango na juhudi za Chelsea na wachezaji zimewafikisha hapa [HASHTAG]#champions[/HASHTAG] #the_blues.... [emoji471] [emoji471] [emoji471] [emoji471] [emoji471] [emoji471] [emoji460] kama ni bahati acha hao wengine waendelee kusubiri bahati yao
 
Hongereni kwenu aisee sio sisi Arsenal kila mwaka twaona vikombe kwa wenzetu
 
Mmebahatisha tu! mshukuru mungu timu kama man u man city na liva hawakua stable...tuone kama msimu ujao mtachukua!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ushabiki wakati mwingine bwana. nawewe bahatisha basi.
 
Wakuu mi Nina wazo.
Tuorganize Siku ya mechi ya mwisho tushangilie kwa pamoja kwa wale walioko dar
 
Back
Top Bottom