CHELSEA KINARA ULAYA

RASCO BOY

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
428
Reaction score
485
Baada ya MAN U kumfunga Juventus hapo jana ni rasmi sasa CHELSEA ndiyo timu pekee katika Ligi 5 bora Ulaya ambayo haijapoteza mchezo wowote tangu kuanza kwa msimu wa 2018/2019 katika mashindano yote
 
inaongoza ligi gani ?
 
Ukikosa ndege basi hata baiskeli ujivunie.
 
Kwani kasha kutana na Man city, Liverpool, Hatawale watakao shuka championship watamtoboa tu.
 
Kwani kasha kutana na Man city, Liverpool, Hatawale watakao shuka championship watamtoboa tu.
Liverpool tayari kajitaidi kapata sate na mechi moja nimemgonga kwake team iliyobaki ni Man City tu
 
cheza uefa ukutane na juve au barca, madrd, psg, at madrid au buyern. Hapo ukijisifia hujapoteza game una haki sio kucheza na Bate barisov
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…