CHELSEA KINARA ULAYA

CHELSEA KINARA ULAYA

RASCO BOY

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
428
Reaction score
485
Baada ya MAN U kumfunga Juventus hapo jana ni rasmi sasa CHELSEA ndiyo timu pekee katika Ligi 5 bora Ulaya ambayo haijapoteza mchezo wowote tangu kuanza kwa msimu wa 2018/2019 katika mashindano yote
FB_IMG_1541659972484.jpg
 
Ukikosa ndege basi hata baiskeli ujivunie.
 
Kwani kasha kutana na Man city, Liverpool, Hatawale watakao shuka championship watamtoboa tu.
 
Kwani kasha kutana na Man city, Liverpool, Hatawale watakao shuka championship watamtoboa tu.
Liverpool tayari kajitaidi kapata sate na mechi moja nimemgonga kwake team iliyobaki ni Man City tu
 
cheza uefa ukutane na juve au barca, madrd, psg, at madrid au buyern. Hapo ukijisifia hujapoteza game una haki sio kucheza na Bate barisov
 
Back
Top Bottom