Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 2,109
- 5,284
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu
Chelsea bhana wana mpango wa kuwasajili neymar, sancho pamoja na chilwell
Chelsea kwa sancho na chilwell mimi nawaunga mkono ila kwa huyo bitoz mimi siwaungi mkono kabisa hata kidogo
Japo wenyewe wanadai kwamba wanataka wakuze brand ya team ambayo kwa sasa imepotea baada ya hazard kusepa
Neymar ni bishoo tu wala hana lolote Chelsea mnaenda kulamba gharasa na kupoteza pesa za boss wenu roman Abraham
Riport ya Chelsea kumtaka neyma endapo wataruhusiwa kusajili mwezi wa kwanza imeripotiwa na vyanzo kadhaa vya habari
Chelsea wametenga paund kama 190 hivi milion
Chelsea bhana wana mpango wa kuwasajili neymar, sancho pamoja na chilwell
Chelsea kwa sancho na chilwell mimi nawaunga mkono ila kwa huyo bitoz mimi siwaungi mkono kabisa hata kidogo
Japo wenyewe wanadai kwamba wanataka wakuze brand ya team ambayo kwa sasa imepotea baada ya hazard kusepa
Neymar ni bishoo tu wala hana lolote Chelsea mnaenda kulamba gharasa na kupoteza pesa za boss wenu roman Abraham
Riport ya Chelsea kumtaka neyma endapo wataruhusiwa kusajili mwezi wa kwanza imeripotiwa na vyanzo kadhaa vya habari
Chelsea wametenga paund kama 190 hivi milion