benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Klabu ya soka ya Chelsea ya Uingereza iko mbioni kumrejesha klabuni hapo mchezaji na kocha wake wa zamani kama kocha wa muda hadi mwisho wa msimu
Kwa mujibu wa Fabrizio Romano klabu hiyo inaendelea na mazungmzo na Julian Nagelsmann pamoja na Luis Enrique ili kupata mwalimu wa kudumu wa klabu hiyo
Inaelezwa kuwa Lampard yuko tayari kuwa Kocha wa muda wa Chelsea.
Kwa mujibu wa Fabrizio Romano klabu hiyo inaendelea na mazungmzo na Julian Nagelsmann pamoja na Luis Enrique ili kupata mwalimu wa kudumu wa klabu hiyo
Inaelezwa kuwa Lampard yuko tayari kuwa Kocha wa muda wa Chelsea.