Viongozi goigoi
Member
- Dec 28, 2016
- 50
- 52
Sarri zamani alikuwa na kosa mmoja, la kuwapangua wachezaji huku Kante akipelekwa mbele, Kovacic/Ross nao wanapatikana mbele, alafu mlinda ukuta anakaba kama anaangalia movie la Sunnillshet vile, anakaba kwa kukodoa macho tu, hatii mguu, hatii mwili, bahati mbaya ni kimbaumbau na bahati mbaya anakuwa targetted yeye na wapinzani wakitaka kufanya maisha magumu kwa Chelsea
Nilihoji mwanzoni mwa msimu, nikasema ukiweka wagumu watatu katikati ambao hakuna creative midfielder hata mmoja huku mbele una Giroud au Morata ambao hawana msaada mkubwa kila wapatapo nafasi, unabaki na watu wawili ambao ni Hazard na mwingine ambaye mara nyingine anakuwaga kama mamluki naye..ukikaba Hazard na Jorginho kikamilifu, basi unakuwa umeikaba Chelsea yote kiurahisi...as long Jorginho anakabia macho huku wakiwa na beki Luiz ambayo mda wowote anajiroga mwenyewe, basi unashinda mechi vizuri au kupata matokeo yoyote yasiyohuzunisha sana
Kosa la pili amelifanya hivi karibuni, kuwasema hovyo wachezaji, mabishano yake na Hazard kupitia press conference kwamba he is more of individual ndio tunaona Bournemouth wanapata matokeo makubwa sasa, huyu ndio key kwa kufanya miujiza yote pale mbele alafu unamsema hadharani tena vibaya,mwisho wa siku anapunguza work rate ambayo inaigharimu the whole team..unhealthy relationship baina ya wachezaji ni moja ya changamoto kubwa za walimu wengi, Sarri maisha yake yanaweza kuwa mafupi pale darajani kama ataendeleza tabia zake za kuhamishia lawama za matokeo mabaya kwa wachezaji wake....
Wanafunzi wazuri wakifeli mitihani, mtu wa kwanza kulaumiwa ni mwalimu ambaye ameshindwa kuwa maarifa au mbinu sahihi namna ya kufaulu mtihani, Chelsea bado ina wachezaji wazuri,na wamemuongeza Gonzalo Higuain katika safu yao ya ushambuliaji, kwa kifupi unaweza kusema wana team imara ambayo wakikosa matokeo basi mbinu za mwalimu inabidi zitizamwe zaidi kuliko performance ya wachezaji...Kante ambaye yupo vizuri kwenye majukumu ya kiungo mkabaji apewe nafasi kwenye eneo ambalo analimudu na Jorginho ambaye Sarri anamuita technical footballer asogee mbele akaongeze creativity
#Steph
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilihoji mwanzoni mwa msimu, nikasema ukiweka wagumu watatu katikati ambao hakuna creative midfielder hata mmoja huku mbele una Giroud au Morata ambao hawana msaada mkubwa kila wapatapo nafasi, unabaki na watu wawili ambao ni Hazard na mwingine ambaye mara nyingine anakuwaga kama mamluki naye..ukikaba Hazard na Jorginho kikamilifu, basi unakuwa umeikaba Chelsea yote kiurahisi...as long Jorginho anakabia macho huku wakiwa na beki Luiz ambayo mda wowote anajiroga mwenyewe, basi unashinda mechi vizuri au kupata matokeo yoyote yasiyohuzunisha sana
Kosa la pili amelifanya hivi karibuni, kuwasema hovyo wachezaji, mabishano yake na Hazard kupitia press conference kwamba he is more of individual ndio tunaona Bournemouth wanapata matokeo makubwa sasa, huyu ndio key kwa kufanya miujiza yote pale mbele alafu unamsema hadharani tena vibaya,mwisho wa siku anapunguza work rate ambayo inaigharimu the whole team..unhealthy relationship baina ya wachezaji ni moja ya changamoto kubwa za walimu wengi, Sarri maisha yake yanaweza kuwa mafupi pale darajani kama ataendeleza tabia zake za kuhamishia lawama za matokeo mabaya kwa wachezaji wake....
Wanafunzi wazuri wakifeli mitihani, mtu wa kwanza kulaumiwa ni mwalimu ambaye ameshindwa kuwa maarifa au mbinu sahihi namna ya kufaulu mtihani, Chelsea bado ina wachezaji wazuri,na wamemuongeza Gonzalo Higuain katika safu yao ya ushambuliaji, kwa kifupi unaweza kusema wana team imara ambayo wakikosa matokeo basi mbinu za mwalimu inabidi zitizamwe zaidi kuliko performance ya wachezaji...Kante ambaye yupo vizuri kwenye majukumu ya kiungo mkabaji apewe nafasi kwenye eneo ambalo analimudu na Jorginho ambaye Sarri anamuita technical footballer asogee mbele akaongeze creativity
#Steph
Sent using Jamii Forums mobile app