Chelsea wasitafute mchawi: Wanachokutana nacho ni laana ya kumdhurumu Abramovich timu yake!

Chelsea wasitafute mchawi: Wanachokutana nacho ni laana ya kumdhurumu Abramovich timu yake!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Timu Iko hoi taaban! Suluhisho pekee ni kumrudishia timu yake. Vinginevyo endeleeni kula jeuri yenu!
 
Hao jamaa na man UTD nimeshindwa kuwaelewa!

Wachezaji wazuri kuliko hata was Liverpool lakini wanawauza wazoefu halafu wanaleta wengine ambao ni WA kawaida wanashindwa ku perform!!
 
Hata mimi naweza kuamini! Huyo ndiyo alikuwa "The blue" mwenyewe
 
Hebu acheni pumba nyie. Mnaijua karma nyie? Karma si infewata wenye mamlaka waliosimamia uuzwaji wa timu kuliko Chelsea yenyewe
 
Back
Top Bottom