Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
au ndio wa kibena... tanwat!!! kama yule MTM alivyosema?
MTM!...ni mnyalukolo yule tena sijamuona siku nyingi sijui ndiyo ameshaenda ku nzombe kufanya mapunduzi ya Jackson Makweta?.....pale Tanwati nina kashamba kangu aisee ninashuka na kibaragadu kangu sina habali!....
Kumbe eeeeh? Lol
Yes sir!...I love me some my msukuma aisee!....he is such a sweetheart.Bone and clyde.....alafu nimeshakwambia acha kumtaja taja atajing'ata bana...mboma hivyo lakini...