Chemistry hii ya mapishi ya msosi inashangaza sana

Chemistry hii ya mapishi ya msosi inashangaza sana

Kama hutojali, taswira ya kilochobakia tafadhali kabla hujakipasha.
Subiri niruhusiwe nimepumzishwa hapa kituo kidogo cha afya usiniulize ugonjwa

Jr[emoji769]
 
Aaahahahahhahaaa ngoja nikuitie mzee Babu Asprin akuletee makhafi na maji ya moto.

Ugua pole.
Usiniitie yule mzushi tafadhali atachonga sana[emoji30][emoji30][emoji30]
Nahavache thaana mghenji

Jr[emoji769]
 
Jana nilifanya kitu tofauti kabisa na mazoea..lakini nikapata matokeo ya kushangaza mno..pishi zima ndani ya jungu moja

Ubao ulikuwa umebana kisawasawa kutupia macho kwenye jokofu kuna haragwe lililochemshwa jana na mtindi robo lita
Sangara mbichi na mnavu fresh
Nyanya zilikuwepo na vitunguu
Hoho Zilikuwepo na karoti
Chumvi ilikuwepo na chili sauce
Na maji pia ...jiko la gesi na vyombo vya kupikia

Uvivu wa kupika ulikoma minyoo tumboni ilipoanza rabsha..ni kama ilikuwa inafyonza mabandana..nikajisemea kumbe huku ndio kuumwa njaa..basi inauma kweli...
Wife hayuko na sina mpango wa kando kwasasa ...chamdeko alishanishit kwa kibuti live toka mwaka juzi...Mwaj pale kwa mama muuza anayeokoaga jahazi kaenda kwenye kigodoro tangu juzi huko kimbiji hajarudi mpaka leo...nasikia kajiozesha kwa msela mmoja mwenye baiskeli za kukodisha

Nikajiwazia lazima nipike nile nishibe ..lakini haya mambo ya kuanza kupika kila kitu na kwake kunachafua sana vyombo na kupoteza muda..nikawaza mbona kwenye sahani tunachanganya...mbona mdomoni vinaingia pamoja ..mbona tumboni vinakaa pamoja na vikitoka ile end product wala huwezi kujua kipi ni kipi....!?

Nikainjika jungu langu motoni nikaweka ile ndondo ya jana
Nikachambua mchele robo nikatia chunguni
Nikakata nyanya mapande manne nikatia..na karoti na hoho hivyohivyo
Juu yake nikaweka mnavu kisha samaki halafu nikamalizia na chumvi mtindi na chili sauce NIKAFUNIKA JUNGU langu..vikaanza kutokota...

Si unaujua moto wa gesi ulivyo? Nususaa kubwa nikaipua jungu langu...ile mixer ile....haikutoka boko lakini ....nimeshiba mpaka leo japo nilipakua nusu tuu
Nimeokoa muda na vyombo na maji...nipo tu hapa nasubiri kula ndaza...
Kama umeipenda hii chemistry nakushauri jaribu....ila SIHUSIKI NA MATOKEO....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Rafiki hii Mimi sijaribu, maana ikifika tumboni nusu saa nyingi kuna kamlio fulani kanatokaga tumboni kuashiria hali si shwani katasikika tu itabidi nitangulie mlango wa mwisho kushoto kusubiri matokeo [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Rafiki hii Mimi sijaribu, maana ikifika tumboni nusu saa nyingi kuna kamlio fulani kanatokaga tumboni kuashiria hali si shwani katasikika tu itabidi nitangulie mlango wa mwisho kushoto kusubiri matokeo [emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] unataka watu watoe [emoji95] 1 hatari sana khaaah
 
Siamini kama hujaweka picha.
 
Jana nilifanya kitu tofauti kabisa na mazoea..lakini nikapata matokeo ya kushangaza mno..pishi zima ndani ya jungu moja

Ubao ulikuwa umebana kisawasawa kutupia macho kwenye jokofu kuna haragwe lililochemshwa jana na mtindi robo lita
Sangara mbichi na mnavu fresh
Nyanya zilikuwepo na vitunguu
Hoho Zilikuwepo na karoti
Chumvi ilikuwepo na chili sauce
Na maji pia ...jiko la gesi na vyombo vya kupikia

Uvivu wa kupika ulikoma minyoo tumboni ilipoanza rabsha..ni kama ilikuwa inafyonza mabandana..nikajisemea kumbe huku ndio kuumwa njaa..basi inauma kweli...
Wife hayuko na sina mpango wa kando kwasasa ...chamdeko alishanishit kwa kibuti live toka mwaka juzi...Mwaj pale kwa mama muuza anayeokoaga jahazi kaenda kwenye kigodoro tangu juzi huko kimbiji hajarudi mpaka leo...nasikia kajiozesha kwa msela mmoja mwenye baiskeli za kukodisha

Nikajiwazia lazima nipike nile nishibe ..lakini haya mambo ya kuanza kupika kila kitu na kwake kunachafua sana vyombo na kupoteza muda..nikawaza mbona kwenye sahani tunachanganya...mbona mdomoni vinaingia pamoja ..mbona tumboni vinakaa pamoja na vikitoka ile end product wala huwezi kujua kipi ni kipi....!?

Nikainjika jungu langu motoni nikaweka ile ndondo ya jana
Nikachambua mchele robo nikatia chunguni
Nikakata nyanya mapande manne nikatia..na karoti na hoho hivyohivyo
Juu yake nikaweka mnavu kisha samaki halafu nikamalizia na chumvi mtindi na chili sauce NIKAFUNIKA JUNGU langu..vikaanza kutokota...

Si unaujua moto wa gesi ulivyo? Nususaa kubwa nikaipua jungu langu...ile mixer ile....haikutoka boko lakini ....nimeshiba mpaka leo japo nilipakua nusu tuu
Nimeokoa muda na vyombo na maji...nipo tu hapa nasubiri kula ndaza...
Kama umeipenda hii chemistry nakushauri jaribu....ila SIHUSIKI NA MATOKEO....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
....HATARI☠️☠️👻🙈
 
daahh umenikumbusha ndondo langu liko kwnye frij ngoja nilipige microwave hapa nifate chapati kwa said.chapati 2 500 nzito km blanket.napiga ndefuu hapo hd jioni huku napiga water therapy
 
Maharage+mchele+viungo+sangara+mnavu+mtindi.....
Tumepigwa!!!!
 
Back
Top Bottom