bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,117
CHEMSHA UBONGO HAPA:
Kwa wale wakali wa
Hesabu za awali, aka Basic
Maths.
Onyo: Wale wenzangu wa
fomu nne msifanye hapa, mtaumbuka bureee, msije
nichorea Zombi hapa. SWALI: Una kengele tatu. Ya
kwanza inalia baada ya dk
25, ya pili baada ya dk 40
na ya tatu ni dk 50. Hizi
kengele kwa mara ya
kwanza zililia zote kwa pamoja saa tatu na nusu
asubuhi, yaani 9:30am.
Je, zitalia tena kwa mara ya
tatu saa ngapi??
Kwa wale wakali wa
Hesabu za awali, aka Basic
Maths.
Onyo: Wale wenzangu wa
fomu nne msifanye hapa, mtaumbuka bureee, msije
nichorea Zombi hapa. SWALI: Una kengele tatu. Ya
kwanza inalia baada ya dk
25, ya pili baada ya dk 40
na ya tatu ni dk 50. Hizi
kengele kwa mara ya
kwanza zililia zote kwa pamoja saa tatu na nusu
asubuhi, yaani 9:30am.
Je, zitalia tena kwa mara ya
tatu saa ngapi??