Chemsha bongo MMU....

Hii thred mbona inakimbia hivi kha??? Yaani hata nakosa mwelekeo
Hamna aliepata jibu...Itabidi nianze kutoa hints lolz.. Hii wala haisogei kuna fulaniNadhani unaikumbuka poster 4897 Kitu kama hicho mpaka ikahamishwa..lolz
 
mtu nwenyewe kila jibu silo....alafu unapewa miji hutaki!embu nenda hydom fasta utwambie ni kitu gani hicho!last try nasema sauti!
congratulation ..yes yes yes ..
 
Kwa hiyo vijana huko mliko
. Tunachukua notice ya sauti zenu ..
Sauti yako ikiwa kama yangu.. waweza
Ukose date..
Twapenda wanaume wenye "DEEP" voice

Take care, take it easy, na asanteeni sana
 
Hahahhhahhaha.....embu nipigieni makofi fasta!!!!Na zawadi yangu naomba unipe uchaguzi wa vitu vitatu nichague!!‘
Mojaaa mbiliiii tatuuuPaaapaaa waaaaa Hahaha lolChagua mwaya ..Na jitayarishe kwa ya kesho lol
 
Hamna aliepata jibu...Itabidi nianze kutoa hints lolz.. Hii wala haisogei kuna fulaniNadhani unaikumbuka poster 4897 Kitu kama hicho mpaka ikahamishwa..lolz

Kha umekariri mpaka idadi wewe kweli kiboko
 
Mojaaa mbiliiii tatuuuPaaapaaa waaaaa Hahaha lolChagua mwaya ..Na jitayarishe kwa ya kesho lol
No more chemsha bongo....alafu juzi tu nlikua naongelea sauti na mtu fidenge...ningegundua mapema!!Zawadi najua unajua sana nnachotaka...hicho hicho!
 
Kwa hiyo vijana huko mliko
. Tunachukua notice ya sauti zenu ..
Sauti yako ikiwa kama yangu.. waweza
Ukose date..
Twapenda wanaume wenye "DEEP" voice

Take care, take it easy, na asanteeni sana

hahahaaa ... AD thanks ... umenichekesha na umenikumbusha mbali kidogo ...

ujanani kuna watu walitafunika enzi hizo sababu hii ... ilikuwa hainiingii akili but now naelewa ...
 
Kha umekariri mpaka idadi wewe kweli kiboko
Mmmhhh Tulifika kwenye hizo number nafikiri..Kipindi hicho kulikuwa na Agape LovePamoja na kikundi chote lolz..Mmmhhhh i guess nime miss tu kipindi kile
 
hahahaaa ... AD thanks ... umenichekesha na umenikumbusha mbali kidogo ... ujanani kuna watu walitafunika enzi hizo sababu hii ... ilikuwa hainiingii akili but now naelewa ...
Muhimu sana kama ambavyo wanaume wanapenda wanawake wenye sauti laini na sio zinazofanana na wao!
 
Mmmhhh Tulifika kwenye hizo number nafikiri..Kipindi hicho kulikuwa na Agape LovePamoja na kikundi chote lolz..Mmmhhhh i guess nime miss tu kipindi kile

Kumbe na wewe unakimiss kile kikundi cha Agape yaani mie ndo kabisa yaani hata mmoja haonekani
 
Asilimia 40 (40%) ya wasichana wanaangalia naKupenda ..Hiki ............ kabla ya kudate mwanaume..JE ni nini?? Waweza hisia mara nyingi upendavyo..All the best ...

Wanaangalia mpunga kwanza mapenzi baadae
 
No more chemsha bongo....alafu juzi tu nlikua naongelea sauti na mtu fidenge...ningegundua mapema!!Zawadi najua unajua sana nnachotaka...hicho hicho!
Hahahaha ntaku patia ndani ya dakika 40 lolzSasa unajua lolz
 
Kwa hiyo vijana huko mliko
. Tunachukua notice ya sauti zenu ..
Sauti yako ikiwa kama yangu.. waweza
Ukose date..
Twapenda wanaume wenye "DEEP" voice

Take care, take it easy, na asanteeni sana

Haha haaa Afro Densi. Ndio maana wanawake wengi wanaogopa kuwa mwanaume mwenye deep voice is likely to cheat on them?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…