Teh! Haya bwana! Bt kitendawili cha leo ucpime!Hahahahaha lolzGagu na Dena mnanikumbushaShule ya msingi lolz ..Staki mji lakini Samahani ae..
Mtu nwenyewe kila jibu silo....alafu unapewa miji hutaki!Embu nenda Hydom fasta utwambie ni kitu gani hicho!Last try nasema SAUTI!Uvivu tu muone kwanza..
congratulation ..yes yes yes ..
Hahahhhahhaha.....embu nipigieni makofi fasta!!!!Na zawadi yangu naomba unipe uchaguzi wa vitu vitatu nichague!!Lizzy hongera ni sauti....
Hamna aliepata jibu...Itabidi nianze kutoa hints lolz.. Hii wala haisogei kuna fulaniNadhani unaikumbuka poster 4897 Kitu kama hicho mpaka ikahamishwa..lolz
No more chemsha bongo....alafu juzi tu nlikua naongelea sauti na mtu fidenge...ningegundua mapema!!Zawadi najua unajua sana nnachotaka...hicho hicho!Mojaaa mbiliiii tatuuuPaaapaaa waaaaa Hahaha lolChagua mwaya ..Na jitayarishe kwa ya kesho lol
Kwa hiyo vijana huko mliko
. Tunachukua notice ya sauti zenu ..
Sauti yako ikiwa kama yangu.. waweza
Ukose date..
Twapenda wanaume wenye "DEEP" voice
Take care, take it easy, na asanteeni sana
Muhimu sana kama ambavyo wanaume wanapenda wanawake wenye sauti laini na sio zinazofanana na wao!hahahaaa ... AD thanks ... umenichekesha na umenikumbusha mbali kidogo ... ujanani kuna watu walitafunika enzi hizo sababu hii ... ilikuwa hainiingii akili but now naelewa ...
Mmmhhh Tulifika kwenye hizo number nafikiri..Kipindi hicho kulikuwa na Agape LovePamoja na kikundi chote lolz..Mmmhhhh i guess nime miss tu kipindi kile
Asilimia 40 (40%) ya wasichana wanaangalia naKupenda ..Hiki ............ kabla ya kudate mwanaume..JE ni nini?? Waweza hisia mara nyingi upendavyo..All the best ...
Kwa hiyo vijana huko mliko
. Tunachukua notice ya sauti zenu ..
Sauti yako ikiwa kama yangu.. waweza
Ukose date..
Twapenda wanaume wenye "DEEP" voice
Take care, take it easy, na asanteeni sana