Hahahaha .Nashukuru kusikia sasa waelewaNa sisi tunapenda sauti za kiume haswa mmhhhahahaaa ... AD thanks ... umenichekesha na umenikumbusha mbali kidogo ... ujanani kuna watu walitafunika enzi hizo sababu hii ... ilikuwa hainiingii akili but now naelewa ...
Nasubiria!!!Alafu naanzishia hili swala la sauti mada.....Hahahaha ntaku patia ndani ya dakika 40 lolzSasa unajua lolz
Asilimia 40 (40%) ya wasichana wanaangalia naKupenda ..Hiki ............ kabla ya kudate mwanaume..JE ni nini?? Waweza hisia mara nyingi upendavyo..All the best ..
.
Vijukuu vingine bana...........Lizzy hongera
ni sauti....
Dahhh nimemiss ile mbaya..Mtu unapost poster 150 kwa siku bilaHata kujua hamna pressure ukitoka humuUnacheka tu.. nilichokuwa napenda zaidi ni Hakuna kulala lolzKumbe na wewe unakimiss kile kikundi cha Agape yaani mie ndo kabisa yaani hata mmoja haonekani
Lizzy hongera
ni sauti....[/QUOTE
Urefu.
Kwahiyo mabubu na wenyevigugumizi ndo imekula kwao, siyo?Ndivyo ilivyokiwa..Ningesema kusikia si kila mtu angepata Mara moja.
Mmmhhh realy??Nijuacho kuna kitu Special kwa Wanaume wenye "deep" voice ..
DuuuuuhhhYou put me off now ...lolzzIn other hand "DEEP " voice muda wowote..Staki kuwa na mwanaume ndani anaongeaKama rafiki yangu wa kike..mmhhUlikuwa hujui? Women might go weak at the knees over a man's deep, dulcet voice, but the same might predict his chances of adulterous behavior in future: Men with deep voices more likely to be unfaithful | TheMedGuru
Embu kione ki-Lizzy kinavochekelea lol! Alafu ndo ulishaanza 'mshiriki huyu anajitoa'.... dah mtoto una bahati wewe!!Nasubiria!!!Alafu naanzishia hili swala la sauti mada.....
Mmhhhhhuko sijui kwa kweli ila Nadhani ni chaguo la mtu ikija kwenye accents.Binafsi accent ya watu wa Dar na Pwani Napenda asana...what about lafudhi?..nachukia mwanaume mwenye lafudhi ya kichaga hadi basi.. samahanini wachaga msinitoe macho...
Embu waache kaka zangu....lafudhi yao ni priceless!!what about lafudhi?..nachukia mwanaume mwenye lafudhi ya kichaga hadi basi.. samahanini wachaga msinitoe macho...