Chemsha bongo MMU....

Chemsha bongo MMU....

haya nakuja ila kuna kitu ntakwambia halafu utanisaidia kumkamua mtu..kama hutaki siji mmmmhhh
Orait...fanya ndani ya dakika mbili basi maana naenda mnadani baadae kidogo so shurti nijirembe!
 
Mwenendo wenu nilikuwa naufuatilia kwa makini..........na taratibu nlianza kuridhia mpaka hapa ulipoharibu.

Moskwito kaanze upya.........amelikoroga huyu na hasira zangu zimeibuka upya!

Warning: AM WATCHING YOUR STEPS!

HaAa Babu kwan shng ngapi? MahariAD nimekupata mamii

Loh!!! ha hha hhaa,...e bana kukosea akosee yeye adhabu nipewe mie, yakoje mambo haya?
sie wa pwani adhabu hapa ni kumzalisha mke mtoto mwingine! MJ1 jiandae na miezi tisa ya kulalia ubavu!
 
Hahh unaipandikiza juu ya hii Mbu? Lol haya sasa tumetoa siri kwa babu Mpenzi?

Hili ntalisawazisha tu usijali
(Babu nakuja unikague!!! ....nakuomba msamaha kwa niaba ya Mr wangu!
 

Loh!!! ha hha hhaa,...e bana kukosea akosee yeye adhabu nipewe mie, yakoje mambo haya?
sie wa pwani adhabu hapa ni kumzalisha mke mtoto mwingine!
MJ1 jiandae na miezi tisa ya kulalia ubavu!

Hahh unaipandikiza juu ya hii Mbu? Lol haya sasa tumetoa siri kwa babu Mpenzi?

Hili ntalisawazisha tu usijali
(Babu nakuja unikague!!! ....nakuomba msamaha kwa niaba ya Mr wangu!
Khaaa!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom