Rangi ya buti
Member
- Sep 5, 2015
- 57
- 39
Wakuu heshima yenu....
Natumaini mu wazima mkipambana na mihangaiko ya kuimaliza january yetu pendwa...
Naomba mnisaidie kutegua hili fumbo ni mara nyingi nilikuwa nalisikia lakini sikulitilia maani sasa mwenzenu karibia naaibika....iko hivi...
Nilikuwa nahitaji shat dukan na linauzwa 10000 kwa kuwa sina fedha nilikopa dada 5000na kaka 5000 nilivyokwenda dukan nikapata punguzo na kuuziwa kwa sh 9700 nikabakiwa na 300.....sh 100 nikamlipa dada na kaka nikamlipa 100 nikabakiwa na sh 100. Hivyo dada akawa ananidai 4900 na kaka 4900 ukizijumlisha unapata 9800 pamoja n ile sh 100 iliyobaki inakuwa 9900.je sh 100 imeenda wapi ili itimie 10000????
Natumaini mu wazima mkipambana na mihangaiko ya kuimaliza january yetu pendwa...
Naomba mnisaidie kutegua hili fumbo ni mara nyingi nilikuwa nalisikia lakini sikulitilia maani sasa mwenzenu karibia naaibika....iko hivi...
Nilikuwa nahitaji shat dukan na linauzwa 10000 kwa kuwa sina fedha nilikopa dada 5000na kaka 5000 nilivyokwenda dukan nikapata punguzo na kuuziwa kwa sh 9700 nikabakiwa na 300.....sh 100 nikamlipa dada na kaka nikamlipa 100 nikabakiwa na sh 100. Hivyo dada akawa ananidai 4900 na kaka 4900 ukizijumlisha unapata 9800 pamoja n ile sh 100 iliyobaki inakuwa 9900.je sh 100 imeenda wapi ili itimie 10000????